Fidel80 JF-Expert Member May 3, 2008 21,947 4,444 Oct 24, 2011 #21 Gosbertgoodluck said: Wachina wajenge mitalo ya maji machafu ndiyo kazi inayofaa. Click to expand... Nayo mbona walichemka maji yanatuama kama kawa
Gosbertgoodluck said: Wachina wajenge mitalo ya maji machafu ndiyo kazi inayofaa. Click to expand... Nayo mbona walichemka maji yanatuama kama kawa
P pat john JF-Expert Member Mar 31, 2009 245 38 Oct 24, 2011 #22 Hii ni sehemu ya barabara kuu kutoka Cairo hadi Cape Town. Sehemu mbaya kuliko zote ilkuwa Tz, sasa kunajengwa Iringa, Dodoma hadi Arusha.
Hii ni sehemu ya barabara kuu kutoka Cairo hadi Cape Town. Sehemu mbaya kuliko zote ilkuwa Tz, sasa kunajengwa Iringa, Dodoma hadi Arusha.