Wachina wajenge mitalo ya maji machafu ndiyo kazi inayofaa.Napendekeza serikali ingewapa tena kazi ya kutengeneza barabara zingine hawa jamaa, wachina wapewe kazi za kujenga madaraja sio barabara za lami.hiyo barabara hata mie nilipita iko kwenye viwango vya juu sana Hongera DENMARK
How can someone tell the difference in qualities by just looking at the picture? Please help me.......
Ndugu Kwisimila , kama umefika Barabara ya Kilwa(ambayo ni mpya) swali lako laweza jibika, quality ya barabara vile vile inayao comfort level.Mbona nyembamba hivyo
Mmmh! OKNdugu Kwisimila , kama umefika Barabara ya Kilwa(ambayo ni mpya) swali lako laweza jibika, quality ya barabara vile vile inayao comfort level.
Barabara hii si nyembamba, nakuwekea hii picha nyingine.Kati ya hiyo mistari myeupe na ile mistrai ya njano kuna mita 6.5 , hii ni international standard. Mabega(shoulders), ni mapana karibia mita 2.
Hebu tazama hii picha sasa, itsa an optical illusion, barabara inaonekana nyembamba.
Hii barabara ni ya kimataifa.
View attachment 39658
Ndugu Kwisimila , kama umefika Barabara ya Kilwa(ambayo ni mpya) swali lako laweza jibika, quality ya barabara vile vile inayao comfort level.
Barabara hii si nyembamba, nakuwekea hii picha nyingine.Kati ya hiyo mistari myeupe na ile mistrai ya njano kuna mita 6.5 , hii ni international standard. Mabega(shoulders), ni mapana karibia mita 2.
Hebu tazama hii picha sasa, itsa an optical illusion, barabara inaonekana nyembamba.
Hii barabara ni ya kimataifa.
View attachment 39658
WATANGANYIKA bado hizi barabara zenu ni nyembamba huwezi kufananisha na barabara za kimataifa bado tupo nyuma kimaendeleo........
Mkuu nimefurahi unanionyesha barabara inayokwenda kwetu bagamoyo hahahahahahahahahah
Wachina wakitengeneza madaraja si ndio tutatumbukia humo wote!!!!Napendekeza serikali ingewapa tena kazi ya kutengeneza barabara zingine hawa jamaa, wachina wapewe kazi za kujenga madaraja sio barabara za lami.hiyo barabara hata mie nilipita iko kwenye viwango vya juu sana Hongera DENMARK