commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
Kuna matukio mengi ambayo yanayotokea yenye maslahi kwa umma wa walipakodi wa nchi hii,hasa kipindi hiki cha mchakato wa mabadiliko ya katiba.na TBC ilipaswa kuonyesha live.Lakini badala yake chombo hiki cha walipakodi kinatumika kwa maslahi ya watawala kwa kuweka vipindi vya ki-kampeni zaidi..je hili WABUNGE WETU HAWALIONI............????