warning: THESE PICTURES ARE strictly for political use only!
Inaweza iwe hivyo, lakini kwa kiasi kikubwa natofautiana na wewe. Wengi wetu tunaotoka katika jamii za Kitanzania, kukaa mkao wa kula wa namna hiyo ni kitu cha kawaida. Hata mimi nikienda kijijini, nakaribishwa chakula namna hiyo. Mara nyingi nimekuwa nikienda kwenye mifugo, nachinjiwa mbuzi, inachunwa na nyama kuchomwa na kupikwa. Wakati wa kula inabidi ushindane na nzi, lakini katika settings zetu hicho ni kitu cha kawaida tu.warning: THESE PICTURES ARE strictly for political use only!