Pota
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 2,031
- 760
Jana mi nimejikakamua kwa huu uchumi mgumu nikaweka kisalio cha sh 2000 ili niwasiliane na jamaa zangu. Kama kawaida yetu tuliowengi baada ya maongez kuangalia salio nikakuta 1500 na ushee. Pasipo kumpigia mtu yeyote tena leo naangalia salio nakuta sh 6.0 na sijajiunga na promotion yoyote mana hata wakinitumia masms yao huwa siyasomi nadelete juu kwa juu. Hv hii kero itaisha lini mana kwa hakika wanenikwaza na nimewatukana matusi magumu ambayo hata kuandika siwez. Jaman nisaidien nifanyeje mana hata hao customer care wao hata uwatafute siku nzima unaweza usiwapate.
mkuu sasa umemtukana nani? kama customer care hujawapata. au umeitukana computer?