Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Niko mamtoni na muwekezaji...tunajaribu kufungua http://www.tic.co.tz/ haifunguki na jamaa nanataka kuja kufungua shamba la kuku na kiwanda cha kusindika nyama vitakavyo ajiri zaidi ya watu 300....mzungu kawiva kwelikweli...sijui nifanyeje