figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,490
- 54,884
Wagonjwa wa akili walipanga kutoroka wakasema; tukifika tumpige mlinzi tunnyang'anye ufunguo tuondoke zetu.
walipofika hawakumkuta mlinzi na mlango ulikuwa wazi.
wakajisemea;dah..!!,mpango wetu ushafeli, turudini ndani tutapanga siku nyingine ana bahati kweli huyu mlinzi.wote wakarudi ndani.
walipofika hawakumkuta mlinzi na mlango ulikuwa wazi.
wakajisemea;dah..!!,mpango wetu ushafeli, turudini ndani tutapanga siku nyingine ana bahati kweli huyu mlinzi.wote wakarudi ndani.