mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
1:Mrisho Gambo(yupo kambi ya 6 ya Urais)
2:Shyrose bhanji(ana mahusiano na Chadema) anasaidia wapinzani.
3:Makongoro Nyerere(Ndugu zake wapo Chadema na vikao vya NEC anampinga sana Lowasa)
4:William Malecela(katelekeza familia USA na kakimbilia ubunge hana takwimu ya uadilifu na mama ake anampinga Lowasa
5:Kimbisa(mtoaji mzuri wa Rushwa ila hana anachokisimamia ki siasa)
6:Anthony komu(huyu ni chadema na alisaidia sana kuingusha CCM arumeru_
Ongeza wa kwako na sababu zao
2:Shyrose bhanji(ana mahusiano na Chadema) anasaidia wapinzani.
3:Makongoro Nyerere(Ndugu zake wapo Chadema na vikao vya NEC anampinga sana Lowasa)
4:William Malecela(katelekeza familia USA na kakimbilia ubunge hana takwimu ya uadilifu na mama ake anampinga Lowasa
5:Kimbisa(mtoaji mzuri wa Rushwa ila hana anachokisimamia ki siasa)
6:Anthony komu(huyu ni chadema na alisaidia sana kuingusha CCM arumeru_
Ongeza wa kwako na sababu zao