sitaki raha
Senior Member
- Jun 8, 2016
- 127
- 112
Tafaut na kebrol balaaaa
unjano unatokana na kuku kula majani ya kijani kwani hata wale pure kienyeji wasipokula majani kiini hakiwezi kuwa cha njanoHawa ndo wana mayai km ya kienyeji kwa nje ila unjano wa kiini chake ni hafifu?
Tafaut na kebrol balaaaa
Yap na kebrol na red Israel
Kebrol wakoje mkuu. Sifa zake nikimaanisha.Tafaut na kebrol balaaaa
unjano unatokana na kuku kula majani ya kijani kwani hata wale pure kienyeji wasipokula majani kiini hakiwezi kuwa cha njano
\
Mkubwa kama unataka vifaranga tuwasiliane.Mkuu 92mtl umewapata wapi hao kuku na mimi nahitaji kujua ninaplan za kuanza kufuga hivi karibuni.
Trey ya mayai unauzaje mkuuMkubwa kama unataka vifaranga tuwasiliane.
Mim niko Tanga nauza vifaranga vya kuku wafuatao
1:kuroila
2:kenbo
3:kienyeji na
4: Kuchi
Kuroila, kenbro na kienyeji bei ya kifaranga cha
Siku moja ni tsh 2,000 tu. Usafiri unajitegemea
Mkubwa kama unataka vifaranga tuwasiliane.
Mim niko Tanga nauza vifaranga vya kuku wafuatao
1:kuroila
2:kenbo
3:kienyeji na
4: Kuchi
Kuroila, kenbro na kienyeji bei ya kifaranga cha
Siku moja ni tsh 2,000 tu. Usafiri unajitegemea
Kifaranga anayekula usiku na mchana anakuwa kwa haraka kuliko anayekula mchana pekee. Hili halijalishi ainaWadau, nimefuga kuku wa Malawi. Nilichukua vifaranga kama 200 sasa hivi wanaendelea vizuri ni wiki ya 4 sasa.
Kwa mliotangulia naombeni msaada. Je, hawa kuku kuna haja ya kuwalisha hata usiku?
View attachment 367361
mkuu vifaranga vya kuchi unauzaje?, na kenyeji pia bei gani?Mkubwa kama unataka vifaranga tuwasiliane.
Mim niko Tanga nauza vifaranga vya kuku wafuatao
1:kuroila
2:kenbo
3:kienyeji na
4: Kuchi
Kuroila, kenbro na kienyeji bei ya kifaranga cha
Siku moja ni tsh 2,000 tu. Usafiri unajitegemea
Me naitaji ivyo vifaranga tuwasiliane unitumie nipo darMkubwa kama unataka vifaranga tuwasiliane.
Mim niko Tanga nauza vifaranga vya kuku wafuatao
1:kuroila
2:kenbo
3:kienyeji na
4: Kuchi
Kuroila, kenbro na kienyeji bei ya kifaranga cha
Siku moja ni tsh 2,000 tu. Usafiri unajitegemea
Mimi nilinunulia pale cona ya tegeta nyuki
Pamoja na hilo, mimi nina dawa ya kukinga magonjwa nyemelezi mbalimbali kwa kuku aina zote. It's not a joke 0763246898Mpaka wawe wakubwa ndio wanapewa.
Inafanyikaje na ni bei gani ?Pamoja na hilo, mimi nina dawa ya kukinga magonjwa nyemelezi mbalimbali kwa kuku aina zote. It's not a joke 0763246898