Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 11,093
- 34,169
Shukrani Mkuu kwa hizo data,vipi suppliers wake wako wapi hapa tz??Kuna idadi ya kuku inayotakiwa ili ukiagiza wakuletee??Shukrani MkuuIli kupangiwa muda ina bidi useme
1.una hitaji vifaranga wangapi
2.wa umrigani?
NB: vifaranga wana tofautiana bei kulingana na umri unao chukulia na mahala wanako patikana
kwa hapa nilipo
Wasiku 1=2000
kuanzia wiki 1-2 =3000
wiki 2-4=5000
Muda wa order hauzidi siku 22