Hawa ndio wasomi wetu wakuu.....

Kwa taarifa yako mimi namiliki Diploma in Clinical Medicine niliyoipata Mafinga COTC 2000-2002. Kazini natambulika kama Clinical Officer aka Afisa Tabibu. Hiyo degree yako ya Fishing gawaneni na Nape! Mimi siitambui

Haya ya elimu yametoka wapi tena. Kila mtu akianza kujisifu humu, si itakuwa facebook tena!
 
Wakuu nimegundua kitu humu. Kumbe usiku mambo ndo huwa yanakuwa bambam. Nimeambiwa members wengi mida hii huwa wako na visimu wakijimwaga ndani ya jf wakishirikiana na 'totoooooz' zao. Sasa ili waonekane matawi ndo wanatumia lugha za kigeni. Tunapowazodoa ndo wanaona kama tunawaaibisha mbele ya 'my wife' za ndo maana unaona usiku watu wanakuja juu kinoma wakiumbuliwa.

Ushauri: Unapoamua kutumia lugha ya kigeni ni vyema uweke mambo sawa, si unajua jf ni kitu cha kimataifa? Wayne Rooney alishawahi kuzodolewa kwa kuharibu lugha we nani uogopwe! Hivyo usione soo mkuu, kama vipi usimshirikishe 'totoooooz' maana kamwe hatutakuacha upite hata kama wewe ni 'fugu' walahi tutakutafuna tu, teteteteteee!
 
Haya ya elimu yametoka wapi tena. Kila mtu akianza kujisifu humu, si itakuwa facebook tena!

Umesoma thread ya mtoa mada au unakurupuka na Valeur zako tu. Hapo nimejisisifu au nimejishusha?
 
kuna mtu kakimbia huku, ngoja nimfuate kwa jukwaa la siasa najua ntamkuta huko tu, piga ua!
 
Mbona sielewi? Mwita 25 na rejao tatizo lenu nini? Majibizano yenu yanaleta taharuki, nyie si ndo vijana wa huyu nape? By the way mnajadili vitu ambavyo si productive ngoja niwaache. Nawe mtoa mada acha utumwa wa fikira, kiingereza sio usomi. Toa huo upupu hapa jamvini.
 
Mbona sielewi? Mwita 25 na rejao tatizo lenu nini? Majibizano yenu yanaleta taharuki, nyie si ndo vijana wa huyu nape? By the way mnajadili vitu ambavyo si productive ngoja niwaache. Nawe mtoa mada acha utumwa wa fikira, kiingereza sio usomi. Toa huo upupu hapa jamvini.

ha ha ha ha haaa
 
Kwa taarifa yako mimi namiliki Diploma in Clinical Medicine niliyoipata Mafinga COTC 2000-2002. Kazini natambulika kama Clinical Officer aka Afisa Tabibu. Hiyo degree yako ya Fishing gawaneni na Nape! Mimi siitambui

Umeulizwa? Halafu wewe jamaa ni mshamba sana! Kuna siku ulikuwa unajitapa eti una Harrier lako unataka kwenda nalo Arusha from Dom! Kuendesha Harrier ni ujanja?
Arusha yenyewe ulikuwa hata huijui..afadhali uliadmit mwenyewe!

Vipi makada wa CCM (Mwita25 & Rejao) mbona leo tena mnashambuliana? Au mmedhulumiana mgao kwenye uchaguzi wa Igunga?
 
Vipi makada wa CCM (Mwita25 & Rejao) mbona leo tena mnashambuliana? Au mmedhulumiana mgao kwenye uchaguzi wa Igunga?
CCM hatuna mtu kigeugeu kama huyu. Wote tuna misimamo yetu na tunajua tunachokifanya kwa wananchi tunaowaongoza!
Huyu jamaa siyo mwana CCM..ni mwanachachadema mwenzenu! Kasema mwenyewe!
 
Hivi Kujua Kiingereza ndio Usomi au uwezo wa kufikiri? Acheni Upumbavu. Huu ndio ujinga wa Watanzania walo wengi. Utasemaje kuhusu wachina, warusi, wajapani, na wengineo wasiotumia kiingezera. Basi kwa mantiki hiyo ukizaliwa uingereza au marekani, Australia huna haja ya kwenda shule manake si unweza kuongea kiingereza hata kama hujui kuandika lugha yenyewe.

Hapana! Kujua Kiingereza siyo usomi wala siyo ishara ya uwezo wa kufikiri. Hiyo dhana potofu ya kuhusisha Kiingereza na uwezo wa akili, usomi, na ustaarabu ni moja ya athari za kasumba tulizotiwa na kuachiwa na wakoloni na wengi wetu tumeathirika vibaya mno.

Binafsi huwa najitahidi sana kukifagilia Kiswahili. Licha ya hivyo, hata mimi mwenyewe hujikuta nakosea hapa na pale. Kwa kweli tunafanya vibaya sana kuvihusisha hivyo vitu viwili.

Sikiliza tu kwa mfano watangazaji wa redio za Tanzania hususan wale vijana. Yaani mpaka wanatia aibu. Au fanya tu utafiti wako wa juu juu kuhusu vijana wengi wa Tanzania hasa wale waliobahatika kusoma chuo kikuu na hivyo kujiona wao wako katika kundi la tabaka fulani.

Ni aibu. Kwao Kiingereza ndiyo usomi. Tena wengine bila hata aibu kabisa unakuta wanahusisha baadhi ya tabia mbaya za kibinadamu na Uswahili. Utawasikia wanasema vitu kama 'aah mi sina hayo mambo ya Kiswahili swahili ya kugombania mwanaume' na mambo mengine kama hayo.

Sasa jiulize mwenyewe hivi kweli hakuna Wazungu au Waingereza wanaogombea wanaume? Kwa ujumla sisi hatujijui ni watu wa aina gani. Hatuna utambulisho wetu. Kama tunao basi hatuukumbatii na kuukubali.

Tunasikitisha.
 
Kujua kiingereza siyo usomi ila ukitumia kiingereza kunasaidia kupunguza kuaema uongo na umbeya.
 
Umesoma thread ya mtoa mada au unakurupuka na Valeur zako tu. Hapo nimejisisifu au nimejishusha?

maskini mwita! Ndyoko kakuamulia kweli, ila ni kwa vile umehama magamba....usikate tamaa tuko nyuma yako. Thawa?
 
Mbona sielewi? Mwita 25 na rejao tatizo lenu nini? Majibizano yenu yanaleta taharuki, nyie si ndo vijana wa huyu nape? By the way mnajadili vitu ambavyo si productive ngoja niwaache. Nawe mtoa mada acha utumwa wa fikira, kiingereza sio usomi. Toa huo upupu hapa jamvini.

Mwita kahama kambi thats why wanamsakama maskini.
 
Kwa taarifa yako mimi namiliki Diploma in Clinical Medicine niliyoipata Mafinga COTC 2000-2002. Kazini natambulika kama Clinical Officer aka Afisa Tabibu. Hiyo degree yako ya Fishing gawaneni na Nape! Mimi siitambui

Ha ha ha ha ha ha....Jamaa kajitoa muhanga kudanganya umma,mimi nina vielelezo vyote hapa.Niruhusu nivimwage hapa JF...
 
Umeulizwa? Halafu wewe jamaa ni mshamba sana! Kuna siku ulikuwa unajitapa eti una Harrier lako unataka kwenda nalo Arusha from Dom! Kuendesha Harrier ni ujanja?
Arusha yenyewe ulikuwa hata huijui..afadhali uliadmit mwenyewe!

hata cku moja doc huwa hajitambulishi kwenye majukwaa,utaona tu comments zake. Hiv,kuwa na diploma wakati muhas wanagraduate watu 200 kila mwaka ni ya kuandika humu? Mbona cjawahi ona ushauri wako jf doctors? Hawa ndo wanaojisifia mtaani na kufanya kazi za kuchokonoa mimba na kubaka dada zetu examination rums aafu madactari wote wanaonekana wahuni.
 
Kujua kiingereza siyo usomi ila ukitumia kiingereza kunasaidia kupunguza kuaema uongo na umbeya.

Ni kweli lugha sio usomi,but kwa Mwita25 ni usomi,kawai kujitapa sana hapa JF huyu...kiingereza kibovu unapoteza muda tu,ikiwezekana tumia hata kigogo lugha yenu....
 
Back
Top Bottom