Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 49
kufanya generalization katika ishu kama hii ni uvivu na ufinyu wa kufikiri bwana nguvumali, si kweli kwamba ifm/cbe hakuna wanafunzi smart na walio na akili just be specific to those who cheated, usihukumu na wasio na makosa. Hivi ni vyuo vilivyo makini na vinaongozwa na watu makini na wengi wao wametoka katika vyuo bora na vyenye sifa kama udsm,mzumbe na hata nje ya nchi,
kuwahukumu jamii yote kuwa ni mbovu ni makosa jaribu kufikiri mheshimiwa.
Sawa kabisa mkuu,samaki mmoja akioza si wote wameoza,lakini je kama katika kumi haupati aliye mzima kiasi cha katika mia unapata watatu.What do you conclude.Yaani kama watu watatu wamekamatwa wanafanyiwa mitihani,what about the simple cheating like kuingia na madesa kwenye pepa na kadhalika.Wajaribu kuongeza umakini katika usimamizi wa mitihani na ukali,kama katika hali hii bado chuo kinaweza kutoa wasomi wazuri kama unavyosema basi nadhani wasimamizi wakiwa wakali kidogo tuu kitakuwa bora afrika mashariki na kati katika kada ya wasomi inayotoa.