Balozi Chriss
Senior Member
- Jan 21, 2011
- 153
- 16
Kweli kama hata hao wameamua hivyo basi mfumo mzima umepatwa na saratani ya upungufu wa fikra.Wasomi magumashi hao na ndio maana wanajipendekeza tu.
WanaJF hebu jaribuni kuangalia vyuo vilivyomtunuku mkuu udokta magumashi ndipo utajua kumbe elimu ni jina tu.
Enyi vijana wa Tumaini mtalaaniwa kwa kushupaza shingo zenu.
WanaJF hebu jaribuni kuangalia vyuo vilivyomtunuku mkuu udokta magumashi ndipo utajua kumbe elimu ni jina tu.
Enyi vijana wa Tumaini mtalaaniwa kwa kushupaza shingo zenu.