BUBE
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 846
- 253
mh! So mtu anatuhuma tena anajiunga ccmuuu inamaana anatafuta sympathy au ndo kujificha ubadhirifu nyuma ya CCMUU?
inawezekana kwani hata rais wa serikali ya wanafunzi alikuwa mmoja wao ! ambaye anatuhumiwa kwa wizi wa sh. milioni 3 za wanachuo