Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Nimesikitika sana kusoma haya makala ya watu kama hawa wanaosadikiwa kuwa ndio wasomi na viongozi wa kesho wanaoweza kuliokoa Tanzania. Hawa Vijana wanaipeleka Tanzania pabaya na Rhetoric Zao. Mbona wanawavamia wachina na siyo wakina Smith? Nimesikitika sana. Tunahitaji wazalendo watakaoitetea taifa na wawekezaji siyo hawa wanasiasa uchwara. Mnamsema Kibonde, hawa ndio watu wa kushambuliwa siyo Kibonde anayetetea Umma wa Kitanzania. Ovyo sana, hatuwataki hapa Tanzania, wabaki huko huko ulaya wabebe maboxi na wakina mwanakijiji, Dr. Kaborou na wengine wote. Tanzania wanafiki hawakubaliki
Ujumbe ni Kwa Yohana Mashaka na Si Mwingine
Soma Mwenyewe TUSIIUZE NCHI pamoja na LAND-GRABBING
Ujumbe ni Kwa Yohana Mashaka na Si Mwingine
Soma Mwenyewe TUSIIUZE NCHI pamoja na LAND-GRABBING