Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 988
Mi naona hii thread inakoelekea hamna tija yoyote! Bora kujikalia tu kimya! Aliyeanzisha hii thread hata hana uelewa wowote kuhusu kodi!
Kodi ina sheria zake na mipaka yake, cha muhimu kabla mtu hujaandika pumba humu, pitia vizuri Income Tax Acts na addendum zake zote, pitia pia audited financials za hayo makampuni ndio utajua kama wanastahili kulipa kodi ama lah!
Kulalama tu hapa mnaonekana kama wendawazimu!
Naona wengi sheria za kodi zimewapitia kushoto kama huyu mbunge aliyeta hii mada!
Siyo kosa lenu lakini!
Ndibalema, mbona ni rahisi sana kumwelewa Rejao anaposema kwamba aliyeleta thread hii ni mbunge mbumbumbu kwa masuala ya kodi. Mizengo Pinda ndiye mbunge aliyeleta thread ndefu mle bungeni akiyataja pia haya makampuni 15 tu.Wewe ndiye Mwendawazimu kwani unamlaumu mleta mada just kwa kuweka tu list ya mashirika yanayoongoza kwa ulipaji kodi.
Kama unanufaika kwa namna moja au nyingine kwa hayo makampuni yanayokwepa kulipa kodi just shut up your mouth acha watu wajadili.
Alichofanya mbunge mwezake yaani Regia Mtema ni kuchomoa kipande kidogo cha pumba za huyu bwana Pinda na kutuhabarisha humu JF.
Rejao , endelea kuwafundisha ni nani mtoa pumba maana wengine akili yao inawatuma kudhani uwaziri mkuu wa Pinda unaufuta ubunge wake hadi eti ukimsema yeye ni mbunge mtoa pumba basi hiyo haiwaingii.
Endelea kutuletea list ya mambumbumbu wengine huko kwenye magamba na wenye akili tutakuelewa na kisha tutawaelewesha waliopotoka kama Ndibalema.