sawa sawa Mdhamini nimekusoma,hii thread yako inaonyesha we ni Muislam wa tofauti sana.
Ndugu zangu.
Kwa mtazamo wangu hawa ndio maadui wakubwa wa uislamu kwa Tanzania.
1. Adui namba moja kwa waislamu ni kutokuwa na mashule na vyuo vingi vyenye kutoa elimu bora kwa vijana wa kiislamu na hata wale wa upande wa pili wanaokuja kuitafuta elimu.
2. Ni kukubali kufanywa nyezo ya CCM kupata uhalali wa kutawala kwa kura za waislamu.
4. Kutokufuata mafundisho ya mtume.
Hivi hunajua maana ya mfumo unataja majina ya Chade Othman, Mohamed Shein ndio reference yako kupinga mfumo ebu tupe idadi ya mawaziri wa Tanzania na manaibu wake Waislam wangapi na Wakiristo wangapi. Tutajie idadi ya makatibu wa wizara Waislam wangapi na Wakiristo wangapi. Wizara zote za serikali na makampuni ya umma yote yamejaa Wakiristo unadhani ili limekuja bahati mbaya.
Hakuna hata Muislam mmoja anayejitambua anaweza kukubaliana na hii thread yako ya Chadema, wewe ni kama ni Muislam basi ni "Muslim puppet" hata enzi za mitume walikuwepo ndio maana unaona hii thread yako umependwa na Pro-Chadema wenzako ambao wanakutumia.
...
Hivi kuna sababu zozote za kisayansi zinazofanya mtoto awe/asiwe na akili just because of dini yake?? Nikichora graph ya waislamu nlioanza nao primary walioacha shule mpaka nimemaliza shahada ya pili, pyramid ni Kali sana? Where are others??
....
Since 1961 mpaka miaka miwili nyuma ndio anapatikana jaji mkuu muislamu bakwata na sheehena wao mufulis simba waondoshwe na hao vibaraka wa bakwata washtakiwe kwa kuufilisi mali ya waislamu
Mohamedi Mtoi,
Hivi hunajua maana ya mfumo unataja majina ya Chade Othman, Mohamed Shein ndio reference yako kupinga mfumo ebu tupe idadi ya mawaziri wa Tanzania na manaibu wake Waislam wangapi na Wakiristo wangapi. Tutajie idadi ya makatibu wa wizara Waislam wangapi na Wakiristo wangapi. Wizara zote za serikali na makampuni ya umma yote yamejaa Wakiristo unadhani ili limekuja bahati mbaya.
Hakuna hata Muislam mmoja anayejitambua anaweza kukubaliana na hii thread yako ya Chadema, wewe ni kama ni Muislam basi ni "Muslim puppet" hata enzi za mitume walikuwepo ndio maana unaona hii thread yako imependwa na Pro-Chadema wenzako na kukusifia ambao wanakutumia.
Nadhani hujamuelewa Mtoi; amedai haoni tatizo liliopo liwe ni mfumo kristo kama unavyodaiwa au mfumo wa ukandamizaji; cha kushangaza amekuja mawazo ya kurekebisha mfumo ambao hauna tatizo; yeye haoni tatizo la mfumo mzima kwa sababu lengo lake kuu ni kutaka kuishutumu CCM; ushauri ni serikali kuvunja MoU na taasisi zote za kidini hapo ni pa kuanzia tu.
Chama
Gongo la mboto DSM
"Napenda kuwahakikishia kuwa hakuna kitu cho chote ambacho Serikali itatoa kwa dini moja ambacho dini nyingine itanyimwa. Kwa kweli mbele ya Serikali dini zote zina haki sawa. Kama hujaomba usimlaumu aliyeomba akapewa au aliyempa. Kama yupo anayeamini anazo sifa kama mwenzake aliyepewa aombe naamini atapewa. Iwapo itafanyika vinginevyo dai haki yako kwa mamlaka zinazohusika."
Soma TAFAkuri jadidi ZA MMtoi na AishaDiii bila jazba!!!!! MTU hateuliwi KWA dini AU Kabila lake, Bali uwezo na elimu yake!
Mkuu chama,
Huyu jamaa ni muslim puppet anakuambia haoni tatizo lolote wala hakuna mfumo kisrto wabaya ni Waislam wenyewe.
Mohamedi Mtoi,
Hivi hunajua maana ya mfumo unataja majina ya Chade Othman, Mohamed Shein ndio reference yako kupinga mfumo ebu tupe idadi ya mawaziri wa Tanzania na manaibu wake Waislam wangapi na Wakiristo wangapi. Tutajie idadi ya makatibu wa wizara Waislam wangapi na Wakiristo wangapi. Wizara zote za serikali na makampuni ya umma yote yamejaa Wakiristo unadhani ili limekuja bahati mbaya.
Hakuna hata Muislam mmoja anayejitambua anaweza kukubaliana na hii thread yako ya Chadema, wewe ni kama ni Muislam basi ni "Muslim puppet" hata enzi za mitume walikuwepo ndio maana unaona hii thread yako imependwa na Pro-Chadema wenzako na kukusifia ambao wanakutumia.