Bijou
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,219
- 335
AshaDii na Mohamedi Mtoi mmezungumza vizuri sana, sasa HAYO NDIYO mafundisho yanayotakiwa kutolewa, KWAsababu masuala mengine yametokana na historia, na NDIYO Maana baba wa TAIFA alichukua hatua ZA kutaifisha Shule zate ZA dini, pamoja na lawama lukuki anazopewa.
Je Shule zisingetaifishwa ingekuwa je??? Iwekwe Mifano ya mafunzo KWA VIONGOZI wa dini, wasomi wasione kazi ya KUWA maalim ni KWA waliomaliza darasa la Saba, washiriki kikamilifu!!!!
Pamoja tutafika, Mungu IBARIKI Tanzania
Je Shule zisingetaifishwa ingekuwa je??? Iwekwe Mifano ya mafunzo KWA VIONGOZI wa dini, wasomi wasione kazi ya KUWA maalim ni KWA waliomaliza darasa la Saba, washiriki kikamilifu!!!!
Pamoja tutafika, Mungu IBARIKI Tanzania