Chama soma hoja badala ya kuleta uzushi. Naona umeanza kuthibitisha aliyosema Mtoi. Maana badala ya kuangalia nini kimeongelewa unaanza shutuma na jazba.
Jazba nizitoe wapi? Ukweli utabaki kama ulivyo; upo mfumo ambao hauna malengo mema kwa nchi yetu; uwe mfumo kristo au mfumo shetani ni jina tu; tatizo lipo na linafahamika kwa kina labda kama unataka kuleta malumbano ya kiccm na kichadema nitakubaliana na wewe.
Chama
Gongo la mboto DSM