cheze
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 501
- 330
Du!!!!Tena huyo tumpangie pambano na Mdee,like betina na zena:smile-big:
hivi kuna mtu anaropoka bungeni kumshinda mama makinda?
hivi kuna mtu anaropoka bungeni kumshinda mama makinda?
Nalifahamu bro. Linaitwa Anne "Madirisha" ya Machela. Nadhani huyu ndiye mwanamke amayeshikilia rekodi ya UNAFIKI Afrika Mashariki na kati.
Wakati ule Lowa-hasa ananyolewa kwa chupa bila ganzi, naye alisimama na kukaripia, kwa nguvu huku akihusisha akina Jeetu Patel na EPA.
Kumbe ni unafiki mtupu, maana baadae ilikuja kugundulika kuwa hata ndoa yake na mzee 'Machela ya ICU' ilifadhiliwa na Jeetu Patel kwa sh.milinni 100.
ndugu yangu hilo ni shairi au ngonjera nimejaribi kusoma nikajikuta nakatikiwa na pumzi.
kifupi kama huwezi kuandika kitu kikasomeka bora uwe msomaji tu.
ccm walizoea kusinzia bungeni sasa wameingia vijana na staili mpya wanachanganyikiwa,mimi sioni shida kwa hawa vijana mimi nawapongeza wote wa ccm na vyama vya upinzani.bungeni ni mahali pa kupeleka mawazo ya wananchi na kuwatetea.hii staili ya miaka yote yakusinzia bungeni itafika mahali itakufa na tusishangae spika akauliza kwa nini watu hawasinzii tena?
Kama hiyo ndivyo ilivyo basi ingefaa huyo 'anga' katibu aseme wabunge wengi viti maalum wa magamba ni vilaza na wapo pale bila kujua kanuni za bunge. Mbona hatusikii kuzomea kwao kukisemewa kwamba ni ukosefu wa utu uzima. Inaonekana hata wewe nyamungo ni kilaza pia una magamba.
hivi kuna mtu anaropoka bungeni kumshinda mama makinda?
Kama mungu angekuwa anatuchukua kwa umbea tu wewe usingekuwepo make uongo wako hata shetani hautambui.