Naanza kwa kuhoji ikiwa katibu wa bunge la Tanzania Thomas Kashilila ana matatizo ktk mfumo wake wa kumbukumbu na fikra. Hii ni kutokana na taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari jana.
Kashilila anadai wabunge wengi wanaoropoka bungeni ni wageni. Na katika kupigilia msumari hoja yake hiyo mufilisi akatoa mfano wa kauli ya mbunge machachari wa CDM kuwa eti naye aliropoka aliposema "funga mlango tupigane."
Kupigana kwa tafsiri ya haraka ni kushambulia,kurusha kombora,au miale kwa mtu mwingine. Kushambulia huku hakujatajwa kuwa ni kwa mwili tu, bali hata kwa hoja. Kwa tafsiri hiyo kumbe mtu anaweza KUPIGANA na mtu kifikra (arguments). Yaani kurusha miale au kombora la hoja kwa mwingine ni kupigana bt si kimwili.(kupigana kwa hoja).
Hivyo basi kwa mtu yoyote mwenye fikra pana hawezi kukurupuka na kudai Lema alimaanisha kupigana kwa maana ya body fighting. Huenda Lema alimaanisha kupigana kwa hoja. Nani ajuaye?
Hivyo si kweli kuwa Lema aliropoka. Kama Lema hakuropoka ni nani basi aliyeropoka au mwenye tabia za kuropoka bungeni.
Vinara hawa hapa:
1.Stella Manyanya
2.Simbachawene
3.Ole Sendeka
4.John Momose Cheyo
5.January Makamba.
Nitaeleza kwanini hawa, lakini kwanza tuangalie tafsiri ya neno KUROPOKA.
Kuropoka kwaweza kuwa ma tafsiri zaidi ya moja.
Kwanza ni kutoa kauli yoyote ya matamshi na kuingilia maongezi ya msemaji wa awali.
Pili ni kutoa kauli au taarifa usiyoijua vyema kwa undani wake.
Eng.Stela Manyanya aliwahi kuropoka bungeni aliposema CHADEMA kinahusika na mauaji ya Arusha kwa kuwa kiliratibu maandamano batili. Kwa kutumia tafsiri ya pili, Manyanya ALIROPOKA.
Simbachawene aliwahi kuingilia maongezi ya Spika kwny bunge la mwezi february ambapo Makinda alikuwa akitoa mwongozo ulioombwa na Mhe.Halima Mdee. Kwa kuwa Simbachawene aliingilia maongezi ALIROPOKA.
January Makamba huyu ndio kilaza kbs. Aliwahi kukitetea Kiswahili bungeni, kumbe hata hajui dhima hasa ya kiswahili ktk bunge la Afrika. Akakosolewa waziwazi na waziri Membe. Kwa kuwa January aliongea vitu asivyovijua naye ALIROPOKA.
umesahau lile limama limoja huwa linanuka mdomo linaropoka kama litoto linaitwa ann kadirisha nadhani ushamjua