Hawa ndio ma-professor wa kitanzania!!!

ahahahaha....kioo cha jamii V/S maisha binafsi....patamu hapo. tatizo hapa sio prof asiwe na maisha yake...ila maisha yake ya-reflect heshima na wajibu wake kwa jamii inayomuheshimu. Nani kati yetu hajui umuhimu wa ma-professor kwa maendeleo ya nchi yoyote ile duniani??...hawa ndio wazee wa kupekua vitabu na kufanya reserches zinazoipelekea nchi kuwa na ustawi bora wa maisha ya watu wake..wanabeba DHAMANA kubwa sana kwa maendeleo ya nchi.
Maisha binafsi yana mipaka kulingana na majukumu ya mtu katika jamii ile...kwa upande wa prof. ni mwalimu wa watu so tunatarajia matendo yake yawe pia elimu kwa watu ..awe mfano wa kuigwa...tuige nini sie wanafunzi wake katika hayo afanyayo???..


Kijana una nini na Mimi? kati ya hawa wanawake nilioko nayo 1 ni wako au ndg yako hupendi awe na mimi?
 
Kijana una nini na Mimi? kati ya hawa wanawake nilioko nayo 1 ni wako au ndg yako hupendi awe na mimi?

Duh itabidi tu who Cares asepe ni soooo sasa ivi kwanza anataka nini au alikukuta live on the spot??????

Maaana utueleze ukweli mbona dogo is behind u??????
 
Duh itabidi tu who Cares asepe ni soooo sasa ivi kwanza anataka nini au alikukuta live on the spot??????

Maaana utueleze ukweli mbona dogo is behind u??????


Thanks for asking,

Kama itakuwa kazi ni kwenda bar badala ya kuburudika au kufwata yaliyokupeleka unaangalia Prof anafanya nini na nani nakuyalete humu jamvini da mbona itakuwa kazi? mbona hamzungumzii/hutukosoi kwenye vitabu tunavyoandika au pensheni ndogo ya mil 20 tukistaafu?
 
Kwani tatizo liko wapi? Kama Professor anawalipa au ana influence nyingine mbona hivyo ni vijimambo vya a free economy tu?

Hayo mambo ya "kuchukuliwa hatua za nidhamu" mbona yananuka kuturudisha katika communist style command system?

Labda Professor anapiga watu fimbo ili wajue umuhimu wa shule, wasome na wao wapate kutesa.Kwani tatizo liko wapi? Ile baa pale ni mali ya umma? huyu Professor anatumia hela za wizi? Professor anashindwa kufanya kazi yake kwa sababu ya kinywaji?

Maana tuambizane kama kuna jengine ambalo halijasemwa, la sivyo mazee mlalamikaji ataonekana ana kintimanyongo kwa sababu kachapwa fimbo katika matanuzi na Professor.
 
Maprofessor wetu wamechoka mbaya na thamani hawana. Hii ni ishara ya depression waliyo nayo wasomi wengi wa Tanzania. Tunaelekea kusiko!
 
This is too personal nafikiri kwenye Global Publisher ingefaa zaidi,
Hawa ni baadhi ya wengi waliojiunga JF baada ya Ze ...kufungwa.

Kunywa hakuna problem, mbona Prof. Shaba yule genius wa pathology huwa yuko top 24-7 na mzigo wa kufa mtu alikuwa anaupiga kisawasawa na stimu zake.

Tujihadhari sana na post ambazo ni too personal lengo likiwa ni character assasination.

Sisi ni waafrika nani kakwambia wawili ndio mwisho?. Afadhali ya wenzetu wanasugest angalau 4. Hawa wamishenari walioleta hii ya mmoja mmoja ndio wanakuzuzua kuwa ndio mfano wa tabia njema?.

Mbona wako wengi tuu wenye nyumba zao na vibanda kibao, hoja ingekuwa kama kakaa hapo akifanya uchafu, ama familia yake unaijua kuwa wanashindia muhogo kwa maji ilihali mzee anatumbua na dogodogo, tena uwe na uhakika fedha ni ya boss na sio dogodogo, ungeweza kuiweka kama angalizo lakini sio hivi kiudaku udaku.
 
Mwanazuoni huyu anamiliki meza na viti viwili katika baa moja kongwe iliyopata kuwa maarufu mitaa ya mwenge karibu kabisa na kituo cha daladala cha ITV.

Nimestaajabu kwa kuwa sitaki na sipo tayari kuamini kama kweli PROFESSOR wa nchi inayohitaji msaada wa wasomi wa kada yake anaweza kujisahau na kufanya VITUKO vinavyofanywa na Ma-bedeshee na wahuni waliozoeleka mjini....AIBU SANA KWAKO WEWE PROFESSOR NA KWA WANAZUONI WOTE WA TANZANIA...
Mkuu,
Kulikoni awe na kiti chake, hadhi ya baa ni hovyo au ni nini hasa?
Hufanya mazungumzo na mapedezshee au na watu wa kaliba yake?
 
Katika hali ya kustaajabisha na kusikitisha weekend hii nilibahatika kuona kituko cha professor mmoja wa lugha ya kiswahili hapo UDSM...

Mwanazuoni huyu anamiliki meza na viti viwili katika baa moja kongwe iliyopata kuwa maarufu mitaa ya mwenge karibu kabisa na kituo cha daladala cha ITV. Meza hiyo anayomiliki mwanazuoni wetu hupambwa na vinywaji na kibao kilichoandikwa V.I.P kuanzia asubuhi mpaka atapokuja mh. professor toka huko mlimani ambapo hufika na kukaa na nyumba ndogo yake na ni MARUFUKU kwa mwananchi yeyote yule kukaa katika meza hiyo ya Mwanazuoni wetu huyo V.IP.

Nimestaajabu kwa kuwa sitaki na sipo tayari kuamini kama kweli PROFESSOR wa nchi inayohitaji msaada wa wasomi wa kada yake anaweza kujisahau na kufanya VITUKO vinavyofanywa na Ma-bedeshee na wahuni waliozoeleka mjini....AIBU SANA KWAKO WEWE PROFESSOR NA KWA WANAZUONI WOTE WA TANZANIA...naomba kama kuna hatua za kinidhamu zinazoweza kuchukuliwa kwa watu wa aina hii ya professor tuzijadili na waadabishwe mara moja.
MUNGU IBARIKI TANZANIA....

Watanzania wengine majungu tu mtindo mmoja.Bwana supervize the work not the man.
 
Hapo mtoa hoja umefilisika, kwai ni mara yako ya kwanza kwenda baa? Meeda, Delux Sinza, UDASA, nk huko kote wapo watu wa namna yake wew umemuona huyo tu. Kwenye starehe hakuna professor. Nenda Makumbusho Ngwasuma huone maprofessor walipo, sio hapo tu nenda groceries. p..bafu!!!!!!!.
 
nina wasiwasi na "who cares " juu ya hoja yake. hivi mtu kukaa baa baada ya kazi zake ni kosa??? unauhakika hao unamwona anakaa nao ni nyumba ndogo??? wewe hapo baa unakwenda kufanya nini??? msikurupuke na kuanza kusema ovyo bila kujua mnachosema- mtu anakwenda baa baada ya kazi kila siku wewe unamwona ni mwenye matatizo, akiwa hapo baa anavunja sheria???? ni watumishi wangapi waandamizi wa umma wanakaa kwenye sehemu za starehe tena wakiwa na magari ya umma kwenye sehemu hizo??? professa kwa uteja wake mzuri na mwenye baa kaandaliwa kiti meza na glass yake wewe unapiga kelele za nini>>????
"who cares" kama unafikiri huyo professa ni mfano mbaya jaribu wewe kuwa professa, kisha ufanye hayo anayofanya huyo professa kama utaweza. kama amekuchukulia bibi wako utueleze hapa na si kutoa habari za ki-nafiki na zinazo shambulia mtu binafsi kwa tabia zake ambazo hata hazivunji sheria za nchi

lol!
 
Sasa ndugu yangu maswala ya personal unaleta kuyajadili humu? hata kama amekuchukulia demu wako unemfuata tu an kumweleza. Halafu usipende kugeneralise mambo. kaka kaka yako anazini na wewe utakuwa mzinzi? Professor mmoja haweza kuwakilisha maprofessors wote wa vyou vikuu.
 
Katika hali ya kustaajabisha na kusikitisha weekend hii nilibahatika kuona kituko cha professor mmoja wa lugha ya kiswahili hapo UDSM...

Mwanazuoni huyu anamiliki meza na viti viwili katika baa moja kongwe iliyopata kuwa maarufu mitaa ya mwenge karibu kabisa na kituo cha daladala cha ITV. Meza hiyo anayomiliki mwanazuoni wetu hupambwa na vinywaji na kibao kilichoandikwa V.I.P kuanzia asubuhi mpaka atapokuja mh. professor toka huko mlimani ambapo hufika na kukaa na nyumba ndogo yake na ni MARUFUKU kwa mwananchi yeyote yule kukaa katika meza hiyo ya Mwanazuoni wetu huyo V.IP.

Nimestaajabu kwa kuwa sitaki na sipo tayari kuamini kama kweli PROFESSOR wa nchi inayohitaji msaada wa wasomi wa kada yake anaweza kujisahau na kufanya VITUKO vinavyofanywa na Ma-bedeshee na wahuni waliozoeleka mjini....AIBU SANA KWAKO WEWE PROFESSOR NA KWA WANAZUONI WOTE WA TANZANIA...naomba kama kuna hatua za kinidhamu zinazoweza kuchukuliwa kwa watu wa aina hii ya professor tuzijadili na waadabishwe mara moja.
MUNGU IBARIKI TANZANIA....


Acha wivu ndugu, mtu anakunywa kwa raha zake na hajavunja sheria yoyote ya nchi, tatizo ninini kama sio wivu tu!
 
Professor ni personal achievement na hayo ni maisha yake...amekuomba hela za kukaa baa? ameiba kazini? anatumia muda wake wa kazini kuwa baa?
Kuhusu kuchungulia vitabu na kusaidia jamii hiyo kazi ya kila mtu na mtanzania..yeye kama anafundisha darasani kama mwajiri wake anavyotaka then tuache blah blah nakufuatilia maisha ya watu ala! nenda break point pale ma-manager kibao wa taasisi za umma wanakunywa kila siku ..ulishawauliza?..huyiu by the way analipwa Tsh. ngapi?za kitanzania ukicompare na mafisadi wengine ambao hata kufundisha hawafundishi wanakula vya bure...mfano (Mbunge ambaye hajauliza swali hata moja miaka mitano)???
 
Binafsi nakubaliana na walioona kwamba suala hili kwa lugha ya kikoloni tunasema "is too personal" hivyo hayo ni maisha binafsi hasa tukizingatia kwamba wanaomfahamu wanasema hapo ni jirani na nyumbani kwake naye ni mzee wa bendi mbili,mwacheni ale ile kitu roho inapenda. Kwa yeye kama angefanya hivyo katika maeneo jirani na chuo ingekuwa tata kidogo katika maadili yetu kama waafrika. Pengine angekuwa kiongozi wa siasa ungekuwa mfano mbaya kwani viongozi wetu wengi wa siasa mapato yao hutia shaka vyanzo vyake, hivyo kwa kufanya hivyo angekuwa anakiuka maadili ya uongozi (kama bado yanazingatiwa bongo). Tumuache tu akamue na bendi zake mbili.
 
this is too personal nafikiri kwenye global publisher ingefaa zaidi,

naona ungenda uko ungekuwa mhariri zuri kweli...nimesoma hii mada hana ubaya na huyu pprof...nahisi lengo ni kumsaidia jamani.....so swala ni kuangalia jinzi gani atasaidiwa ukiwa member wa jf unaemjua...thx
 
unamaanisha prof masamba? Pale maryland ndio sebuleni kwake,na hayo naona ni mambo binafsi sana unless kama ashakupitia na wewe kwa hiyo una wivu.anaishi nyuma tu ya hiyo bar na wake zake wawili shida na mwajuma.


kwa usemi uu laazima atakuwa amekuanza wewe jirani yake kabla ya kumfwata mh hapo juu....na kuidhinisha jf kuna ma**
 
naona ungenda uko ungekuwa mhariri zuri kweli...nimesoma hii mada hana ubaya na huyu pprof...nahisi lengo ni kumsaidia jamani.....so swala ni kuangalia jinzi gani atasaidiwa ukiwa member wa jf unaemjua...thx

Kumsaidia nini?
 
We umemuona huyo tu!! Mbona wapo wengi, tena wengine hawaishii bar tu, hadi clubs utawakuta.
Hata hivyo mie sioni ajabu, maana professor ni binadamu naye. Kuna muda wa kukaa class na kuna muda wa kuenjoy life.................life is short!.......lets enjoy it.
 
Back
Top Bottom