Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,364
Katika hali ya kustaajabisha na kusikitisha weekend hii nilibahatika kuona kituko cha professor mmoja wa lugha ya kiswahili hapo UDSM...
Mwanazuoni huyu anamiliki meza na viti viwili katika baa moja kongwe iliyopata kuwa maarufu mitaa ya mwenge karibu kabisa na kituo cha daladala cha ITV. Meza hiyo anayomiliki mwanazuoni wetu hupambwa na vinywaji na kibao kilichoandikwa V.I.P kuanzia asubuhi mpaka atapokuja mh. professor toka huko mlimani ambapo hufika na kukaa na nyumba ndogo yake na ni MARUFUKU kwa mwananchi yeyote yule kukaa katika meza hiyo ya Mwanazuoni wetu huyo V.IP.
Nimestaajabu kwa kuwa sitaki na sipo tayari kuamini kama kweli PROFESSOR wa nchi inayohitaji msaada wa wasomi wa kada yake anaweza kujisahau na kufanya VITUKO vinavyofanywa na Ma-bedeshee na wahuni waliozoeleka mjini....AIBU SANA KWAKO WEWE PROFESSOR NA KWA WANAZUONI WOTE WA TANZANIA...naomba kama kuna hatua za kinidhamu zinazoweza kuchukuliwa kwa watu wa aina hii ya professor tuzijadili na waadabishwe mara moja.
MUNGU IBARIKI TANZANIA....
Mwanazuoni huyu anamiliki meza na viti viwili katika baa moja kongwe iliyopata kuwa maarufu mitaa ya mwenge karibu kabisa na kituo cha daladala cha ITV. Meza hiyo anayomiliki mwanazuoni wetu hupambwa na vinywaji na kibao kilichoandikwa V.I.P kuanzia asubuhi mpaka atapokuja mh. professor toka huko mlimani ambapo hufika na kukaa na nyumba ndogo yake na ni MARUFUKU kwa mwananchi yeyote yule kukaa katika meza hiyo ya Mwanazuoni wetu huyo V.IP.
Nimestaajabu kwa kuwa sitaki na sipo tayari kuamini kama kweli PROFESSOR wa nchi inayohitaji msaada wa wasomi wa kada yake anaweza kujisahau na kufanya VITUKO vinavyofanywa na Ma-bedeshee na wahuni waliozoeleka mjini....AIBU SANA KWAKO WEWE PROFESSOR NA KWA WANAZUONI WOTE WA TANZANIA...naomba kama kuna hatua za kinidhamu zinazoweza kuchukuliwa kwa watu wa aina hii ya professor tuzijadili na waadabishwe mara moja.
MUNGU IBARIKI TANZANIA....