Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
Nimeikuta hii kwa mjengwa
CCM London walikutana wakati Chadema wanafanya mkutano Reading.
Cha ajabu hawa jamaa walikutana vichochoroni kwenye kiza kinene kama vile uwanja wa fisi.
Swali ; Kwa nini wakutane kizani walikuwa wanaogopa nini?
Yaani kweli hiki chama kinaoza.Yaani mbwembwe zote za chama tawala,chakula cha bure na miziki hawa ndo waliohudhuria mkutano wao.M4C Hamuiwezii.
Mdau
Na hizi ndio coments nilizokuta huko kwa mjengwa
MKUSANYIKO WA MAFISI
Sat Sep 01, 08:11:00 PM GMT+03:00
Anonymous said...Wote wako kwenye benefit , wengine kwa sababu ni viguru, na wengine ni wavivu tu ni wavivu
Sat Sep 01, 08:13:00 PM GMT+03:00
Anonymous said...hapa walipo mbona pachafu hivyo au wako uwanja fisi nini?
Sat Sep 01, 08:14:00 PM GMT+03:00
Anonymous said...mbona sura zao zimechoka sana ,
Kweli boksi linazeesha.
wale wanawake zao wamechoka kama wachoma mkaa
Sat Sep 01, 08:23:00 PM GMT+03:00
Anonymous said...kweli ccm wamechoka mpaka vikao vyao wanafanyia kizani wasionekane, hapo ukiwatumia immigration watatoka nduki kama vile ukimrusha mbwa katikati ya kundi la kuku. yatabaki mabawa tu.
Sat Sep 01, 08:37:00 PM GMT+03:00
Anonymous said...HAHAHAAAA
Kweli huu ni mkusanyiko wa mafisi...
CCM London walikutana wakati Chadema wanafanya mkutano Reading.
Cha ajabu hawa jamaa walikutana vichochoroni kwenye kiza kinene kama vile uwanja wa fisi.
Swali ; Kwa nini wakutane kizani walikuwa wanaogopa nini?
Yaani kweli hiki chama kinaoza.Yaani mbwembwe zote za chama tawala,chakula cha bure na miziki hawa ndo waliohudhuria mkutano wao.M4C Hamuiwezii.
Mdau
Na hizi ndio coments nilizokuta huko kwa mjengwa
MKUSANYIKO WA MAFISI
Sat Sep 01, 08:11:00 PM GMT+03:00
Anonymous said...Wote wako kwenye benefit , wengine kwa sababu ni viguru, na wengine ni wavivu tu ni wavivu
Sat Sep 01, 08:13:00 PM GMT+03:00
Anonymous said...hapa walipo mbona pachafu hivyo au wako uwanja fisi nini?
Sat Sep 01, 08:14:00 PM GMT+03:00
Anonymous said...mbona sura zao zimechoka sana ,
Kweli boksi linazeesha.
wale wanawake zao wamechoka kama wachoma mkaa
Sat Sep 01, 08:23:00 PM GMT+03:00
Anonymous said...kweli ccm wamechoka mpaka vikao vyao wanafanyia kizani wasionekane, hapo ukiwatumia immigration watatoka nduki kama vile ukimrusha mbwa katikati ya kundi la kuku. yatabaki mabawa tu.
Sat Sep 01, 08:37:00 PM GMT+03:00
Anonymous said...HAHAHAAAA
Kweli huu ni mkusanyiko wa mafisi...