sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
1.Wakikukwepa usijali iko siku watakutafuta
2.wakikusengenya nyamaza , huenda watajifunza.
3.wakikununia omba Mungu ipo siku watakuchekea
4.wakikupongeza usiwaamini labda wanakufanyia ihtizai
5.wakikutenga achana nao , wao sio kila kitu
6.wakikudhurumu shukuru, Mungu atakulipa
cheka nao ingawa si wema kwako......................!!
2.wakikusengenya nyamaza , huenda watajifunza.
3.wakikununia omba Mungu ipo siku watakuchekea
4.wakikupongeza usiwaamini labda wanakufanyia ihtizai
5.wakikutenga achana nao , wao sio kila kitu
6.wakikudhurumu shukuru, Mungu atakulipa
cheka nao ingawa si wema kwako......................!!