Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
cku moja nilisikiliza taarifa yao wakidai yule mjeda wa Taifa Teule Takatifu Mali ya Wayahudi Wapalestina ni makimbizi anayeshiliwa mateka na magahidi wa Hamaz kule Israel ya Gaza ati walidai ameachiwa kwa makubaliano ya kubadilishana na wajela-jela wa kipalastina.
lakini mpaka leo asubuhi nimeskia yule dogo hajaachiwa, ndo kwanza mchakato wa kumuachia unaanza kutekelezwa.
sasa hawa wasomi wetu wa Elimu kwanza walishindwa kutafsiri habari kutoka vyombo vya nje au? au ndo mambo ya field za kuuza sura kwenye TiVii?
Samtaim mnaboa bana.
Acheni izooo.
lakini mpaka leo asubuhi nimeskia yule dogo hajaachiwa, ndo kwanza mchakato wa kumuachia unaanza kutekelezwa.
sasa hawa wasomi wetu wa Elimu kwanza walishindwa kutafsiri habari kutoka vyombo vya nje au? au ndo mambo ya field za kuuza sura kwenye TiVii?
Samtaim mnaboa bana.
Acheni izooo.