Du!, unavyoeleza naona noma mpaka najihisi kama vile uliniona!.mje basi na wake zenu..
ikiwezekana na first born wako...
assuming ana 18yrz
...af mnakuaga mbele kinoma,kama hapo VIP utakuta lizee ndo limeinamia krb na strippers,na udenda unamtoka.
husninyo kama unaweza kwenda club tatu kwa ucku mmoja...just do it now...
ujana ni kama moshi aisee
unakereka nani aisee!!? club nikuanzia 18+ na hakuna limit above! na fyi, ndo wanaiingizia club pesa nyingi! nyie vitoto ukinunua kibia1 utazunguka nacho wee hadi asubuhi!
yap yap...kwa iyo hazina kijijiniii..
sasa jee? Makee cc kinadada wa kileo ukimuona muzeiya na mamvi+ kipara anakula gambe counter, pahali tena ya vip !mmmh unamlia timming HIHIHIIII MAANA UNAJUA LABDA KALAMBA ZILE ZA EA KUMBE!LOL,
WARUDI BUSH BANA
umenikumbusha walivyojaa pale salender bridge...
Kwel mjini wallet...
Hata ukiwa na mkongojo...
Vi premature vitakukimbilia...
wala usikonde Konnie,ujana maji ya moto,si unajua maji ya moto huwa hayasahu ubaridi?ubaguzi upo wa aina nyingi.
Nilioujua ni wa rangi, kabila, na dini.
Kumbe na ubaguzi wa umri umeanza?
usiombee kabisa !zee hata ukilipeleka mperampera 20 minutes linaweza ku rip! Sijui ni viagra ama ubishi tuu!