harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,888
- 1,347
Ukiangalia bunge utajua kawamba wanachofanya 85%
ya wabunge wa magamba ni kushambulia utu wa lisu
badala ya hoja iliyoko mbele yao sasa angalizo nia kwamba
hawa jamaa hawajui kwamba wanatumia fedha za walipa
kodi wa Tanzania kukaa hapo dom.?wafanye kitu tulichowatuma
waache blabla
ya wabunge wa magamba ni kushambulia utu wa lisu
badala ya hoja iliyoko mbele yao sasa angalizo nia kwamba
hawa jamaa hawajui kwamba wanatumia fedha za walipa
kodi wa Tanzania kukaa hapo dom.?wafanye kitu tulichowatuma
waache blabla