Msanii Platinum Member Jul 4, 2007 22,593 29,711 Nov 11, 2010 #1 Kuna mtu ana clues za hawa wakulu? wapo hapa nchini tangu 2005 wamemilikishwa oil block kule Tanga. bado wapo au kunani pale Tanga???
Kuna mtu ana clues za hawa wakulu? wapo hapa nchini tangu 2005 wamemilikishwa oil block kule Tanga. bado wapo au kunani pale Tanga???
Msanii Platinum Member Jul 4, 2007 22,593 29,711 Nov 11, 2010 Thread starter #2 Kuna clue kwamba kampuni hii haikufuata taratibu sahihi kisheria kupata nafasi ya kuchakachua mafuta hapo Tanga.
Kuna clue kwamba kampuni hii haikufuata taratibu sahihi kisheria kupata nafasi ya kuchakachua mafuta hapo Tanga.
MwanaHaki R I P Oct 17, 2006 2,401 705 Nov 11, 2010 #3 Msanii said: Kuna clue kwamba kampuni hii haikufuata taratibu sahihi kisheria kupata nafasi ya kuchakachua mafuta hapo Tanga. Click to expand... Kwa hiyo wanatafuta nafasi mpya ya kuchakachua hizo taratibu vizuri zaidi ili waweze kuchakachua hayo mafuta?
Msanii said: Kuna clue kwamba kampuni hii haikufuata taratibu sahihi kisheria kupata nafasi ya kuchakachua mafuta hapo Tanga. Click to expand... Kwa hiyo wanatafuta nafasi mpya ya kuchakachua hizo taratibu vizuri zaidi ili waweze kuchakachua hayo mafuta?
Smarter JF-Expert Member Nov 10, 2008 527 110 Nov 12, 2010 #5 Mkuu nenda pale TPDCBenjamin mkapa Tower floor ya 4 kwa taarifa zaidi
Msanii Platinum Member Jul 4, 2007 22,593 29,711 Nov 12, 2010 Thread starter #6 Ktk wilaya ya Mkuranga nimeona signs za visima viwili vya mafuta. swali hapa ni kwamba je hayo mafuta yapo au ndo guessing game inaendelea???
Ktk wilaya ya Mkuranga nimeona signs za visima viwili vya mafuta. swali hapa ni kwamba je hayo mafuta yapo au ndo guessing game inaendelea???