Mimi huwa ni mpenzi sana wa kipindi cha mapitio ya magazeti Chennel Ten. Leo nimeshangwazwa sana hawakusoma kurasa za mbele sa gazeti la Tanzania Daima, na badala yake wakasoma kurasa za nyuma tu. Je nao ni wana magamba kwani habari iliyochukua uzito wa juu inasema "CCM yapasuka" Wana JF nielezeni ili nianze kuepuka hii TV