Hawa Celebrity Wako Wapi Siku Hizi?

Ndallo

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
7,619
4,292
ngaluma.jpg

Amina Ngaluma
badi+ba.jpg

Badi Bakule Jogoo la mujini!
 
Aah, Amina Ngaluma a.k.a Japanese! Kwani TOT Plus bado ipo? Inasherehesha wapi siku hizi??
 
TOT haiwezi kuvuma kwa wakati huu kwani kisima cha hela kimekauka na ndio maana hata kwenye uchaguzi uliopita hawakusikika sana kwani kulikuwa hakuna EPA!!
 
Na kweli ndo maana captain kaamua kuchagua njia ya maombi bungeni badala ya kuchangia hoja ili siku ziwe nzuri kama zamani.
 
Mkuu, ungemaliza kama ungekuwa umemweka na mtu alikuwa akitwa SHAABAN MWEZINGO SIKU HIZO.

nAKUmbuka jinsi Badi Bakule alivyoimba shairi la MGUMBA:



nAKUSIHI WALA USITIE KUFURU MWENZANGU EE
Kupata na kukosa ni kazi yake maulanaa
Elewa MUNGU ana mitihani yakeee
Kaumba matajiri na mafukara kama mimi,
kaumbva vilema na wazima
Matasa au Wagumba, yote ni kazi yakeeeee



 
Mkuu, ungemaliza kama ungekuwa umemweka na mtu alikuwa akitwa SHAABAN MWEZINGO SIKU HIZO.

nAKUmbuka jinsi Badi Bakule alivyoimba shairi la MGUMBA:



nAKUSIHI WALA USITIE KUFURU MWENZANGU EE
Kupata na kukosa ni kazi yake maulanaa
Elewa MUNGU ana mitihani yakeee
Kaumba matajiri na mafukara kama mimi,
kaumbva vilema na wazima
Matasa au Wagumba, yote ni kazi yakeeeee




Mkuu nadhani anaitwa RASHID MWENZINGO!
 
Mkuu, ungemaliza kama ungekuwa umemweka na mtu alikuwa akitwa SHAABAN MWEZINGO SIKU HIZO.

nAKUmbuka jinsi Badi Bakule alivyoimba shairi la MGUMBA:



nAKUSIHI WALA USITIE KUFURU MWENZANGU EE
Kupata na kukosa ni kazi yake maulanaa
Elewa MUNGU ana mitihani yakeee
Kaumba matajiri na mafukara kama mimi,
kaumbva vilema na wazima
Matasa au Wagumba, yote ni kazi yakeeeee




duu halafu anaingia muumini, iiiiiii iiiiiiiiiiiii iiiiiii mgumba we
 
hebu jikumbushe wimbo wao maarufu enzi hizo wa MTEGEMEA CHA NDUGU:

intro.....

chandeeeeeee, asubuhi kumekucha kumepambazuka Chandeeeee,
Chandeeeee eeh, tuamke kumekucha tukajitafutie riziki yetuu,
Ooh ooh Chandeeee,
aah Shabani Bakule, mamaa leticia Kato, sema na Adam, Omar Baraka, Almas,
Chande, japokua wanasema riziki haivutwi kwa kamba Chande,
lakini usipoitafuta huwezi kupata, kwa vile mafanikio hayaji ndoto OOH,
aaah mwenda pole, Mr K.H Ngaluma, Kocha wa dunia,

Chande, japokua wanasema riziki haivutwi kwa kamba Chande,
lakini usipoitafuta huwezi kupata, kwa vile mafanikio hayaji ndoto,

sema saaana lakini utakua mpole ghafla,
maisha mtego, ukisepetuka umenasa,
maisha popote, maisha mahesabu,

Chorus,,,,,,,,,

kazi hutaki kufanya, kwa vile kaka ana mali,
elewa mtumaini cha ndugu hufa masikini,
kazi hutaki kufanya, kwa vile kaka ana mali,
elewa mtumaini cha ndugu hufa masikini,

[BADI BAKULE,,,,,,,,,]

oooh, Badi mi nasema, inakupasa uelewe ya kuwa umri haurudi nyuma,
miaka inazidi kwenda mbele maisha ni mapambano,
ona wenzetu wanavyo yatafuta maisha chande,kila kunapokucha pilikapilika haziishi,
wengine maofisini, wakulima mashambani,
na wafanya biashara nao pilikapilika,
wengine ujerumani, wengine south africa, na wengine america katika kujitafutia aaah aaah,
ooh mama leleee, muheshimiwa Richard Ndassa, mueleze Chande ajitafutie kama sisi eeh,
John Badi na Badi Bakule mueleze Chande ajitafutie kama sisi eeh,
na Baraka Musilwa mueleze Chande ajitafutie kama sisi,
kila kunapokucha pilikapilika haziishi, za kutafuta maisha yetu ya leo na kesho,
usipojitafutia hakuna wa kukutafutia,
kwa vile maisha ya sasa ni vuta nikuvute kila mmoja huvutia kwake (ya muamba ngoma), ooh mama iyeee,
utakuja kumulilia nani eeh, wakati umekwishapinda mgongo ooh, na nguvu za kutafuta tena huna,
ukitazama nyuma mzigo mkubwa wa familia eeh, we bwana umekuelemea,

[RASHIDI MWENZINGO,,,,,,,,,,,]

yoyooo, rafiki Chande ananishangaza sana,
yoyooo, rafiki Chande ananihuzunisha sana eeh,
kazi nyingi anazozipata anashindwa kufanya, anategemea cha ndugu wakati uwezo hana iyoyoyo kaka,
kazi yake ni kula kulala kwa kaka yake Mwenzingo,
kazi yake ni kula kulala kwa mjomba wake Bakule,
kazi yake ni kula kulala kwa dada yake Amina,
kazi yake ni kula kulala kwa shangazi Asha Baraka, yoyoo Chande yatakushinda kaka,

[BADI BAKULE,,,,,,,,,]

aah iyoyoyoo eeh yatakushinda Chande,

[AMINA NGALUMA,,,,,,,,,]

hata sisi dadazako, tunakushangaa kwa tabia yako,
unavyojiendekeza kwa kupenda vya bwerereeeee, aibu eeeh


[MUUMIN MWINJUMA,,,,,,,,,]

sure eeh,
ooh ooh Chande weeh,
ooh ooh Chande eeh,
wanihuzunisha kwa vitendo vyako rafiki yangu,
nimesikia kazi yako ni kushinda sebuleni tu,,,, wangoja kuitwa
mara ooh Chande chai tayari huku,,,,, wangoja kuitwa
mchana unauliza shemeji lunchi imewiva,,, alaah,,,,,,,, wangoja kuitwa,
hata kazi ndogo ndogo zinakushinda Chande,
hata jite riziki kidogo ana afadhali,
wacha kutuliza boli, chakalika ndugu yangu, changamkia tenda,

Chorus,,,,,,,,,

kazi hutaki kufanya, kwa vile kaka ana mali,
elewa mtumaini cha ndugu hufa masikini,
kazi hutaki kufanya, kwa vile kaka ana mali,
elewa mtumaini cha ndugu hufa masikini,


,,,,,,,,,
 
We jamaa mkare mbayaa! Umenkumbusha mbali kwa kweli! Big up man!
hii bendi kwa mwaka ule ilikua ni TISHIO kuzidi hata kaka zao twanga pepeta!, kwamaana jamaa walivutwa toka uarabuni na kenya wakawa kama ma-proo. Album nzima ilitisha kwa ujumbe mzito mwanzo mpaka mwisho.
 
amina ngaluma yuko thailand....badi bakule ana kama miezi 2 toka arudi twanga akitokea levante musica ya morogoro hiyo ilikuwa baada ya kutoka TOT
 
amina ngaluma yuko thailand....badi bakule ana kama miezi 2 toka arudi twanga akitokea levante musica ya morogoro hiyo ilikuwa baada ya kutoka TOT

huyu jamaa kama alihama TOT kweli basi TOT ilikua imeishiwa!, Badi Bakule ni mmoja wa wanamuzi wenye historia ya kukaa bendi moja kwa muda mrefu sana bila kuhama hama.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom