Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
Jamani naomba mnisaidie labda nipo mbali na media, nilikuwa na nimejiunga na huduma ya Airtel ya 400MB ambayo huwa naitumia siku zote, ilipofika jana ikaisha leo saa 10 jioni nikajiunga tena kwa utaratibu uleule baada ya kuona nimeshapewa 400MB nikafungua page ya yahoo nikaanza kuatach mafaili flani wakati nataka kutuma net ikakata kuangalia salio najikuta nina 0MB balance nikashangaa maana nilikua sijamaliza hata nusu saa na sijadownload chochote.
Nilipouliza uduma kwa wateja nikaambiwa kujiunga ni mara moja kwa mwezi na mwezi haujaisha toka nijiunge.ninavyojua mimi huduma ya 400MB ni no limit sasa je hii kitu ni kweli au wamenichakachua? Naogopa kujiunga tena nina wasiwasi na waudumu wa airtel
Nawasilisha.
Nilipouliza uduma kwa wateja nikaambiwa kujiunga ni mara moja kwa mwezi na mwezi haujaisha toka nijiunge.ninavyojua mimi huduma ya 400MB ni no limit sasa je hii kitu ni kweli au wamenichakachua? Naogopa kujiunga tena nina wasiwasi na waudumu wa airtel
Nawasilisha.