We acha tu... halafu ukiunganisha na joto na vumbi hili la bongo. Basi niko nyokonyoko.... Yani natamani ningeweza kumpigia simu yule daktari "aliyemdunga" Michael Jackson.
Na hapa jeee...?
Kwi kwi kwi!!!..anaota fweza au mke?Hahahahah Kikongwe Malecela atakuwa anaota! Duuuu hii kali
Na hapa jeee...?
Huyo mwenye kibaragashia yaelekea ni m-CUF, anafikiria mapanga shashaaa! na sio hotubaLazima watakuwa walikuwa wanausikiliza usanii wa bwana mkubwa. Nyimbo zake tamu sana.