Stoudemire
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 839
- 207
Hapo ukirushia na samaki Papa hapo unaisha wote fyuuuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Judgement naona hii mambo ya watoto iko pote ..Sasa leo umpe mtoto mchana ugali ,usiku ugali atakuelewa huyo?
Hahahahaaa simplemind sio wasukuma tu hata wagogo pia kitu asubuhi lolMsukuma kwa Ugali sijaona, nimeshuhudia ugali unasongwa alfajiri for breakfast pale shy mjini.
Hahahahaaaa Kongosho hao ndo watoto na vijana wa .comheri wa hapa kwangu wanakula ugali bila kunung'unika, iwe mchana au usiku.
Sasa kibinti kimevaa pedo na dred kichwani kitakula ugali?
Mtoto wa kiume ana kiduku au afro kichwani ugali upite wapi?
Sina hakika na nilichokiandika au la, kwa kuwa mambo yamekuwa mengi.
Haya, ngoja niweke post yangu.
Karibuni nyumbani kwetu wali umekuwa adimu, kisa bei. Sasa na Ugali nao unaelekea kubaya, kilo ya unga buku' sh. mbili, namaanisha 1200/=... Bahati mbaya ugali hauna malighafi mbadala, lazima unga uhusike.
Jumamosi njema!
Ugali huu,kipimo kiko sawa ila,kuna mawili..
1. Mgumu sanaaa.... Na
2. Una mabuja ya kutosha sana!
Msukuma kwa Ugali sijaona, nimeshuhudia ugali unasongwa alfajiri for breakfast pale shy mjini.
huu ugali ndi wenyewe, mgumu ndio mzuri
unashiba na kujipanga tumboni, pwani wanapika mlaini kubana matumizi ya unga.
Utakula ugali kama uji afu ukachungwe kutwa nzima? Au ukakamate jembe la kukokotwa na ng'ombe kutwa nzima??
Wala hauna mabuja ni aina ya unga unaozalishwa kwa kutwanga na kinu cha mkono au kuparaza kwenye jiwe la kusagia.
Mnanitamanishaje jamani, huu unapigwa asubuhi saa mbili kwa maharage na maziwa.
Hapana GC, hilo laitwa 'sima', ugali wa pwani ya Kenya, ni mtamu aje?
Judgement naona hii mambo ya watoto iko pote ..Sasa leo umpe mtoto mchana ugali ,usiku ugali atakuelewa huyo?