Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
- Thread starter
- #21
Ivuga chakula kiko wapi?
AD msosi unakuja
Ivuga chakula kiko wapi?
Hiyo meza mbona hakuna kitu? Karibuni sosi home kwangu. Mshindwe wenyewe tuu. . Niko na maiwaifu wangu hapo. Kulia kabisa kule ni Katavi. Tena muwahi tuna ubao hapa
Hiyo meza mbona hakuna kitu? Karibuni sosi home kwangu. Mshindwe wenyewe tuu. . Niko na maiwaifu wangu hapo. Kulia kabisa kule ni Katavi. Tena muwahi tuna ubao hapa
Nipitie twende wote. Umeona panga la kukata ugali? looooolaiseee,nielekeze kwako.
hii sinia kama ina kitimoto na kachumbali, hii biashara ya kujazana mate sio nzuri eneo nilipo hata ndimu hakuna,Hiyo meza mbona hakuna kitu? Karibuni sosi home kwangu. Mshindwe wenyewe tuu. . Niko na maiwaifu wangu hapo. Kulia kabisa kule ni Katavi. Tena muwahi tuna ubao hapa
Hiyo imekaa picnic si picnic, outdoor si outdoor, diner si diner... kama unataka kuchanga vyote hivyo basi do something like this:
Nipitie twende wote. Umeona panga la kukata ugali? loooool
nialike basi...hii nimeipendaa iko poaa sana kwa date
nialike basi...
aiseee,nielekeze kwako.
Kumbe upo? lolmwe...sasa nini mwali? hujambo lakini?
saa ngapi ndugu yangu matumbo yanakoroma njaa eti lolAD msosi unakuja
Kumbe upo? lol
How are you dia?
Afro denzi kwanza nimekumiss sana. hujambo. ngoja nimwambie mpishi afanye fasta huko asije akasababisha dada yangu akafa njaa hapasaa ngapi ndugu yangu matumbo yanakoroma njaa eti lol
Hata mi nimeku miss sana Bro..Afro denzi kwanza nimekumiss sana. hujambo. ngoja nimwambie mpishi afanye fasta huko asije akasababisha dada yangu akafa njaa hapa
Siku hizi hata huna time na mimi... :A S embarassed:nipo im doing great..naona unalazimisha ualikwe nakuchora tu hapa ujue .
Hata mi nimeku miss sana Bro..
duuhhh yaani nimerudi naona umeniandalia meza ya hatari bila msosi duhh.
dahhhh huyo mpishi wako bora akarangize faster faster ..
Hujambo lakini??
Siku hizi hata huna time na mimi... :A S embarassed: