Hausigeli!

Zaidi au mbaya zaidi ni pale hausigeli anapokutana na kijana aliebalehe wa mwenye nyumba na kumfanya poezeo lake au anapojifunzia kubandua amri ya sita. Kuna watoto wengi wamezaliwa kwa njia hii, na inapotokea issue kama hiyo mara nyingi housegeli hujikuta akitimuliwa na matha hausi.... hivyo kuishia kwenye maisha magumu na ya dhiki tele huku akiwa na kiumbe wa kijana wa matha hausi.
 
Hii thread ina majina mengi nimeyamiss..
Hata michango yao mkuu ni miongoni mwa vitu vinavyopatikana kwa tochi katika kipindi hiki humu Jf..
Ukianzisha mada kama hii leo hii utachoka.. Mara atakuja wa kusimulia jinsi alivyolala na housemaid wa shemeji yake, mwingine atasema napita tu.. Kazi kweli kweli!
 
Hata michango yao mkuu ni miongoni mwa vitu vinavyopatikana kwa tochi katika kipindi hiki humu Jf..
Ukianzisha mada kama hii leo hii utachoka.. Mara atakuja wa kusimulia jinsi alivyolala na housemaid wa shemeji yake, mwingine atasema napita tu.. Kazi kweli kweli!
Mwingine anaandika be first to reply
 
...hivi inakuwaje, mbona kina mama wengi wanawapelekesha puta sana hawa watumishi wa majumbani?

...utakuta matha-hausi wengine wanadiriki hata kuwalamba makofi hawa mabinti, na kashfa nyingi oooh, "ulipokuja hapa ulikuwa umepauka!" mara oooh, "...nipishe huko, usinitie shombo...!" nk nk...

eti, nini tatizo?...

hamuoni huruma hawa mabinti ni uwezo mdogo tu wa maisha ndio wakaamua kufanya kazi hizo? imagine; wao ndio wanaowapikia, kuwalelea watoto, kutunza nyumba mkiwa hampo,... mateso ya nini?
binti wa kazi ni tishio la ndoa kuliko kitu kingine chochote. ni sawa na wewe mkata majani aliye karibu sana na familia hasa ninyi vizee huwa mnawaonea kawivu fulani. binti wa kazi huwa anakuja amechokaaa, akilishwa vizuri ananawiriii na anakuwa mbichi. sasa mama hapo kishajizalia vitoto kama viwili hivi, hajiamini tena, anaamini kitumbua labda kimeharibiwa na kuzaa na cha housegirl bado kibichi hakijatanuliwa. kati ya vitu ambavyo wanawake huwa na infiriority complex namba moja ni baada ya kuzaa anaamini maungo yake yamebadilika hivyo mume hataenjoy kuliko zamani, na akiona mtu karibu na mume ambaye anaweza kuwa na maumbile mapya anaona wivu anaogopa kuibiwa. huu ndio ukweli mchungu.

in the contrary, mke wangu amezaa watoto kadhaa wengine mapacha. nilishateleza nikatoka na hivyo viwanafunzi vya chuo na vingine 18 vimemaliza tu, vingine vilikuwa vimeishia form two vikaacha shule nikawa nacho....pamoja na wife kuzaa na yeye kuwa na infiriority complex bado niliona mbunye ya waifu ni bora kuliko zile za nje za vitoto vidogo. hii naongea toka moyoni, kuanzia mbano, jotoridi hadi ufundi. sasa hua nakaa najiuliza how come?
 
Ni uwendawazimu wa kinamama na huku wakisahau kuwa uhai wa jamii (familia) yao umebebwa na huyo Hg na akiwa na roho mbaya au mazingira (ya kunyanyaswa) yanaweza kumfanya akafanya kitu mbaya sana. Je bado mnakumbuka mauaji ya mtoto mdogo pale Manzese? kisa ni deni la mshahara wa miezi sita (shilingi tisini elfu).

Naomba mkubaliane nami kuwa wanawake wana upole wa nyoka kifutu.
hii kesi ya Manzese imeishia wapi?
 
Imefika wakati hawa ma-girls/boys wawe wanalipwa kima cha chini cha mshahara, na siyo alfu 30, 40 au 50.
Imefika wakati kuwe na chombo kitakacho wasimamia haki zao, elimu na utendaji kazi..
Iliyopo sasa ni "UTUMWA" tu...
Na ndiyo maana wakina mama wanawanyanyasa na kuwatesa watakavyo hawa binadamu na watafutaji wenzetu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom