Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
...hivi inakuwaje, mbona kina mama wengi wanawapelekesha puta sana hawa watumishi wa majumbani?
...utakuta matha-hausi wengine wanadiriki hata kuwalamba makofi hawa mabinti, na kashfa nyingi oooh, "ulipokuja hapa ulikuwa umepauka!" mara oooh, "...nipishe huko, usinitie shombo...!" nk nk...
eti, nini tatizo?...
hamuoni huruma hawa mabinti ni uwezo mdogo tu wa maisha ndio wakaamua kufanya kazi hizo? imagine; wao ndio wanaowapikia, kuwalelea watoto, kutunza nyumba mkiwa hampo,... mateso ya nini?
...utakuta matha-hausi wengine wanadiriki hata kuwalamba makofi hawa mabinti, na kashfa nyingi oooh, "ulipokuja hapa ulikuwa umepauka!" mara oooh, "...nipishe huko, usinitie shombo...!" nk nk...
eti, nini tatizo?...
hamuoni huruma hawa mabinti ni uwezo mdogo tu wa maisha ndio wakaamua kufanya kazi hizo? imagine; wao ndio wanaowapikia, kuwalelea watoto, kutunza nyumba mkiwa hampo,... mateso ya nini?