WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Maswali ni mengi kuhusu jinsi ya kukomesha utumwa wa kisasa (aka ma-housegirl)
Hivi hakuna sheria inayosema huwezi kumuajiri mtoto chini ya miaka 18? Kama ipo kwanini chama cha mawakili wakike haki chukui hatua kutetea haki za wanyonge kama haka kabinti? Kabla ya ku-deal na uchawi huyo aliyeajiri mtoto wa miaka 15 anatakiwa afunguliwe mashitaka.
Sheria ya ajira inaruhusu watoto kuanzia miaka 15 kuajiriwa mradi zisiwe ajira mbaya kufuatana na Mkataba wa ILO on worst forms of child labour.Je kazi ya uhausigel ni ajira mbaya kufuatana na sheria/ILO Convention? Utakuta kuna ombwe na utata hapo kwa vile hata watunga sheria, watekelezaji wote wanaajiri hausgeli!