FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
Hivi jamani kwani si amekiri mwenyewe kuwa ni mwanga na ametumwa na bibi yake?
Na pia amethibitisha kuwa ameshafanikiwa kuua mtoto huko morogoro?
Sasa mnamtetea nini au amelazimishwa kusema hivyo?
--No Coment Suzzie
kabinti kadogo hivyo kanakuwa kashirikina ??