Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,059
- 4,053
Hii imetokea mchana wa leo.
Jirani yangu ana mtoto wa miezi minne ambaye huachwa na yaya.
Yaya ana tabia ya kumuacha mtoto na kwenda kurusha roho na mume wa jirani yetu, nyumba ya nne toka nyumba tunayoishi.
Mume huyo wa jirani yetu ni mlinzi wa makampuni binafsi, mara nyingi mchana hushinda nyumbani.
Leo binti akiwa amemuacha mtoto peke yake, akaenda kutusuliwa. Mungu mkubwa, mke wa jirani kawafumania red handed.
Na kwa jinsi ambavyo haus gel alivyo kuwa na mkosi, tajiri yake karudi ghafla kakuta mtoto yuko peke yake, kajichafua na analia sana.
Alipouliza mpangaji wa chumba cha pili akasema hajui aliko enda, maana kaondoka bila kuaga.
Muda si muda kundi la watu likavamia nyumbani huku binti na mume wa mwizi wakiwa uchi wa mnyama.
Jamani tuwe tunachoropoka japo kidogo kwenda kuangalia familia zetu.
Jirani yangu ana mtoto wa miezi minne ambaye huachwa na yaya.
Yaya ana tabia ya kumuacha mtoto na kwenda kurusha roho na mume wa jirani yetu, nyumba ya nne toka nyumba tunayoishi.
Mume huyo wa jirani yetu ni mlinzi wa makampuni binafsi, mara nyingi mchana hushinda nyumbani.
Leo binti akiwa amemuacha mtoto peke yake, akaenda kutusuliwa. Mungu mkubwa, mke wa jirani kawafumania red handed.
Na kwa jinsi ambavyo haus gel alivyo kuwa na mkosi, tajiri yake karudi ghafla kakuta mtoto yuko peke yake, kajichafua na analia sana.
Alipouliza mpangaji wa chumba cha pili akasema hajui aliko enda, maana kaondoka bila kuaga.
Muda si muda kundi la watu likavamia nyumbani huku binti na mume wa mwizi wakiwa uchi wa mnyama.
Jamani tuwe tunachoropoka japo kidogo kwenda kuangalia familia zetu.