Somoe
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 754
- 282
Ukiona mtu rafiki yako, mpenzi wako, jirani yako au mtu yeyote yule ambae hakujui au ambae amekuona mara chache sana, halafu anakuambia umepinda au hauna akili basi jua,
(1) Huyo mtu yeye mwenyewe ndio kapinda kweli, na tena hana akili kabisa. Kawaida mtu alie na akili timamu na alienyooka, hatumii lugha kama hii.
Mtu wa dizain hii mi nampotezea mbali, shenz type.
2) Ukifanya uchunguzi utagundua huyu mtu hapendwi na watu wa kawaida, na hata hapendwi kimapenzi na binadamu wengine, marafiki zake wabovu kama yeye mwenyewe.
Je wenzangu mmewai kukutana na watu kama hawa?
Mie nimekutana nae wawili.
(1) Huyo mtu yeye mwenyewe ndio kapinda kweli, na tena hana akili kabisa. Kawaida mtu alie na akili timamu na alienyooka, hatumii lugha kama hii.
Mtu wa dizain hii mi nampotezea mbali, shenz type.
2) Ukifanya uchunguzi utagundua huyu mtu hapendwi na watu wa kawaida, na hata hapendwi kimapenzi na binadamu wengine, marafiki zake wabovu kama yeye mwenyewe.
Je wenzangu mmewai kukutana na watu kama hawa?
Mie nimekutana nae wawili.