Nungunungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2007
- 311
- 13
Invyoelekea ni kuwa Baraza letu la mawaziri litakuwa linachukua sura ya Raisi aliyepo madarakani.
Hivi hatuwezi kuwa na muundo wa kudumu wa baraza letu? Kama ndivyo chombo kipi kinastahili kusimamia jambo hilo, Bunge?
Nionavyo kuna haja ya kuwa na mjadala na maafikiano juu ya idadi na muundo wa wizara tunazopaswa kuwa nazo kulingana na mahitaji ya Taifa letu.
Siamini kama kuna watu wachache wanaweza kulifanya hilo ndani ya siku mbili-tatu na kutoa muundo unaokidhi mahitaji ya nchi.
Naomba kama kuna uwezekano basi tulisemee jambo hili ili kusiwe na mabadiliko ya mara kwa mara yasiyo na Ulazima.
JK kabadlisha mmundo ndani ya miaka miwili na kidogo. Tujitahidi kusisitiza mchakato wa hili ili Rais ajae 2010 ateue baraza kwa msingi huo.
Nawasilisha.
Hivi hatuwezi kuwa na muundo wa kudumu wa baraza letu? Kama ndivyo chombo kipi kinastahili kusimamia jambo hilo, Bunge?
Nionavyo kuna haja ya kuwa na mjadala na maafikiano juu ya idadi na muundo wa wizara tunazopaswa kuwa nazo kulingana na mahitaji ya Taifa letu.
Siamini kama kuna watu wachache wanaweza kulifanya hilo ndani ya siku mbili-tatu na kutoa muundo unaokidhi mahitaji ya nchi.
Naomba kama kuna uwezekano basi tulisemee jambo hili ili kusiwe na mabadiliko ya mara kwa mara yasiyo na Ulazima.
JK kabadlisha mmundo ndani ya miaka miwili na kidogo. Tujitahidi kusisitiza mchakato wa hili ili Rais ajae 2010 ateue baraza kwa msingi huo.
Nawasilisha.