engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Haya kama kawaida yetu Tz
Tunawaambia nyie UK,kuwa hatuna nia ya kuwashitaki hawa jamaa waliopiga pesa ya rada hapa Tz,mpaka nyie mtuonyeshe mliowashitaki huko kwenu UK
Acheni watu wetu wabalizi na pesa kiduchu ya rada ebooooo
hahahahaha,Tanzania zaidi uijuavyo bana
Tunawaambia nyie UK,kuwa hatuna nia ya kuwashitaki hawa jamaa waliopiga pesa ya rada hapa Tz,mpaka nyie mtuonyeshe mliowashitaki huko kwenu UK
Acheni watu wetu wabalizi na pesa kiduchu ya rada ebooooo
hahahahaha,Tanzania zaidi uijuavyo bana