Hatuutaki mfumo dume tunautaka mfumo gani?

hapo ndipo tunapokosea watz haki sawa kwawote ndio nini ebu tuangalie tangu hapo kale kulikuwa na usawa btn men and women au ndio vipi ndio maana tunakuwa masikini
 
A war well fought is worth celebrating. Sasa hii vita inapiganwa bila oponent. How can you fought with the barrel pointing at yourself?
I is easy to be angered if you are not honoured.
 
Yes, let's do a survey, what do women in the rural areas say. We r told people have~o involved to the matter of concern, sasa hii project ya hawa wamama wa mujini wamewauliza wamama wengine kama that is what they want?
 
Ananilea Nkya akiwasikia,anawamaliza ninyi,hamjui kuwa jana ndo katunukiwa tuzo ya harakati za jinsia?

Hayo hapo juu, tuachane nayo,jambo ambalo huwa najiuliza ni mwanamke wa aina gani ambaye harakati hizi zinalenga kumkomboa.Agenda imekuwa ni kwa mwanamke kunyanyaswa na mumewe.Lakini ukichunguza kwa undani asilimia karibu 99% ya wanaharakati wanawake,wote hawako kwenye ndoa.Wengi wameachika na wengine hawajaolewa kabisa.
Nafkiri wanataka na wenzao waachike kama wao walioshidwa kuzitunza ndoa zao, wanakuwa na viburi hata sehemu zisizohitaji viburi.
 
Tatizo ni elimu ndogo. Nasoma utumbo uliogubikwa mfumodume hapo juu nataka kutapika.

Don't get me wrong, I think there is a brand of almost militant fminism that is juvenile if not repugnant, but this medieval business of saying god created man in dominion over women is ridiculous, and there ought to be law against teaching that so called "biblical" principle.

Hizi habari za wanaume kutaka ukubwa over their women zinaonyesha inferior complex tu.Mwanamme anayejiamini hana shaka na uwezo wake, na atam encourage mke wake wafanye kazi pamoja na kupendana kama marafiki na watu sawa wenye nyenzo tofauti.

Hizi habari za mwanamme yuko juu ya mwanamke ziko so medieval.
 
Alieleta hoja amechanganyikiwa.. Bible inahusika vipi na human rights..lol 21st Century hakuna mambo yenu ya Old Testament hapa. Kinachotakiwa ni equal opportunities kwa wote wenye uwezo basi. Hivyo vitu vya wachunga mbuzi zamani havina nafasi.
 
Hayo hapo juu, tuachane nayo,jambo ambalo huwa najiuliza ni mwanamke wa aina gani ambaye harakati hizi zinalenga kumkomboa.Agenda imekuwa ni kwa mwanamke kunyanyaswa na mumewe.Lakini ukichunguza kwa undani asilimia karibu 99% ya wanaharakati wanawake,wote hawako kwenye ndoa.Wengi wameachika na wengine hawajaolewa kabisa.

Hizi zote ni harakati za wanawake wachache walionda shule ambao wanajaribu kutumia kigezo cha usawa ili kujipatia nafasi za ulaji.

Ni mwanamke mgani mwanasiasa aliyepata nafasi za upendeleo amemsaidia mwanamke mwenzake? Je hawakutumia nafasi hizo kwa ajili ya kujinufaisha kichumi na kutetea mafisadi ambao wamewapa nafasi hizo?

Je wanaopata nafasi hizo ni wale wanawake hohehahe ambao wanajua shida ni kitu gani? au ni wale wanawake wa mjini ambao ni wake, ndugu, na marafiki wa vigogo?

Je ni kwanini wanawake wengi wanasimama majimboni hawapewi kura na wanawake wenzao? Ni kwa sababu hawako kwa ajili ya maslahi ya wanawake bali kwa ajili ya kutimiza maslahi yao binafsi.

Wanawake wengi wa hali ya kawaida wanajitenga na hawa wanaojiita wanaharakati ambao wengi wao hata maisha ya familia yamewashinda lakini hujificha katika mwanamvuli wa wanaharakati kujinufaisha wenyewe wakitafuta hela za wafadhili kwa ajili ya kusaidia wahitaji lakini wahitaji wenyewe hawafikiwi na hii misaada bali ni wanaharakati wanajinufaisha kwa magari ya kifahari na majumba mazuri.

Hivyo basi hata uwakilishi uwe %50/50% atakaenufaika sio mwanamke mnyonge bali wale walio nacho
 
Alieleta hoja amechanganyikiwa.. Bible inahusika vipi na human rights..lol 21st Century hakuna mambo yenu ya Old Testament hapa. Kinachotakiwa ni equal opportunities kwa wote wenye uwezo basi. Hivyo vitu vya wachunga mbuzi zamani havina nafasi.

Kula tano mwanangu.

Wewe Nyambiss ni nyambiss kweli kwli, watu wachache sana wana ushujaa wa kui diss old tstament kihivyo hapa.
 
hapo kwenye red unataka kutuambia kuwa tamaduni zilizokuwa zinapendelea mambo mabali mbali na kutokuwa na usawa walikuwa hawapendani? yani ndani ya nyumba? the problem is, we are forgeting that we Africans live a communal life, sisi sio baba na mama na watoto basi.......hapo ndo wanaharakati wanapojisahau.....USAWA is being advocated to families and not the the community.
Kwa mfano, kuna makabila ambayo, mnyama lazima achinjwe na wanaume, wanawake hawachinji mbuzi au ng'ombe, lakini pia, wanakula nyama zaidi ya wanawake. women never complained about that, they were getting their share. same to milk, women would handle milk and get the lions share out of it, men never complained.
Kuna makabila amabyo kuku akichinjwa, mapaja ni ya baba, full stop. no body complained then. LAKINI sasa hilo linaonekana ni uonevu, kila mtu anahaki ya kula paja, bab anatakiwa aache watoto wale kwanza. the same person ambaye alikulia kwenye mazingira ya baba kwanza leo hii anajifanya kwamba hilo sio jambo jema. Watoto walipendwa na watu wote, na walijisikia kupendwa. watoto walikuwa wanacheza na kula kwa majirani zao bila tatizo lolote. sasa hivi watu wanajisikia wamekuwa westernized sana, kama vile wapo londan. aaggreeeee

Ni kweli na hata hao wanaharakati walipewa nafasi kwea mujibu wa mila na uwezo wa kifamilia na kufikia hapo walipo.
Jambo linalonishangaza mimi ni hili la kulazimisha wanawake wapewe madaraka at expense ya Demokrasia. Kwani demokrasia si uamuzi wa wengi? sasa iwapo chaguzi haziwapi nafasi wanawake kwanini tunalazimisha wapewe hizo nafasi eti za upendeleo? Hasa tukitilia maanani kuwa wapiga kura wengi ni wanawake wenyewe na wao ndio wanaoona kuwa wanawake wengi hawana uwezo. Of course nakubaliana na uongozi wa kuchaguliwa na iwe mwanamke au mwanamme kwani watu huchaguwa wanaowahisi kuwa wanawafaa .
 
Wanawake hautaki mfumo dume lakini wanataka mfumo rafiki,unaotoa fursa sawa kwa wote katika kila njama.
 
hawa vingunge wa gender equality karibu wote wako singo au ndoa zao zina matatizo. wanawake msiwasikilize sana hawa vinara wa usawa kwani hiyo ni nadharia hewa. katika vitendo haitekelezeki
 
Ananilea Nkya akiwasikia,anawamaliza ninyi,hamjui kuwa jana ndo katunukiwa tuzo ya harakati za jinsia?

Hayo hapo juu, tuachane nayo,jambo ambalo huwa najiuliza ni mwanamke wa aina gani ambaye harakati hizi zinalenga kumkomboa.Agenda imekuwa ni kwa mwanamke kunyanyaswa na mumewe.Lakini ukichunguza kwa undani asilimia karibu 99% ya wanaharakati wanawake,wote hawako kwenye ndoa.Wengi wameachika na wengine hawajaolewa kabisa.

Kunguru hafugiki!!!!!
 
Tatizo ni elimu ndogo. Nasoma utumbo uliogubikwa mfumodume hapo juu nataka kutapika.

Don't get me wrong, I think there is a brand of almost militant fminism that is juvenile if not repugnant, but this medieval business of saying god created man in dominion over women is ridiculous, and there ought to be law against teaching that so called "biblical" principle.

Hizi habari za wanaume kutaka ukubwa over their women zinaonyesha inferior complex tu.Mwanamme anayejiamini hana shaka na uwezo wake, na atam encourage mke wake wafanye kazi pamoja na kupendana kama marafiki na watu sawa wenye nyenzo tofauti.

Hizi habari za mwanamme yuko juu ya mwanamke ziko so medieval.

Soma historia ya bustanini edeni. Serpent alikuja na maneno matamu kama haya kwa Eva. Kama usawa wanawake wanaoupigania unafaziliwa na midume iloyomkataa Mungu na vitabu vyake basi wajue wamepotea njia. Na wanaume wote wenye kumcha Mungu hawatakaa kamwe waishiriki dhambi yao.
 

Kuna makabila amabyo kuku akichinjwa, mapaja ni ya baba, full stop. no body complained then. LAKINI sasa hilo linaonekana ni uonevu, kila mtu anahaki ya kula paja, bab anatakiwa aache watoto wale kwanza. the same person ambaye alikulia kwenye mazingira ya baba kwanza leo hii anajifanya kwamba hilo sio jambo jema. Watoto walipendwa na watu wote, na walijisikia kupendwa. watoto walikuwa wanacheza na kula kwa majirani zao bila tatizo lolote. sasa hivi watu wanajisikia wamekuwa westernized sana, kama vile wapo londan. aaggreeeee
mi mwenyewe toka nakua filigisi kuku akichijwa ni ya baba na mama sijawahi ona akilalamika kwa hilo, sasa hawa wanaotaka mama alalamike kwa nini filigisi anakula baba peke yake wana maana gani? jamii yoyote ina utaratibu wake kama hao wanaojiita wanaharakati wa kuwatetea wanawake wanaona mazingira ya tanzania yanamwonea mwanamke basi wawachukue na wawapeleke huko ambako wameona kuna usawa, ujerumani yenyewe pamoja na maemdeleo makubwa iliyonayo bado mwanamke analipwa malipo madogo kuliko mwanaume,ili tuwe na mahusiano mazuri lazima mtawala awepo na jamii yetu ilimchagua awe ni baba,sasa nyie wanaharakati mnataka nini hasa? nafahamu mnapiga kelele ili mpewe vijihera na mabosi wenu wa magharibi ili mharibu utamaduni wenu ambao umetuwezesha kufika hapa tulipo, kwa taarifa yenu tutawapinga milele.
 
Back
Top Bottom