FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
Ukizungumzia PM kwangu inanigusa mpaka nilipata warning
kuwa inbox imejaa wakati ule nilivyoanzisha thread ya infii.
Lakini ni wewe mwenyewe unahitaji akili mkichwa.
Kama wamekutana wametumiana PM wamalizane huko huko
mie ha ha kama ni wahanga wa PM basi nami mmojawapo
mpaka nikaanza kudelete bila hata kusoma.
AKILI MKICHWA
i see jambo limezua mambo