Nimesikia eti huko Tanga kuna pub moja maarufu kwa kuuza kitimoto inaitwa hatutajani majina pub na hii ndo slogan ya wateja wake wote.Kwa wale ndugu zetu wa huko tanga,hizi habari ni za kweli?na kama ni kweli kwa nini hiyo pub ijiite hivyo?
Nimesikia eti huko Tanga kuna pub moja maarufu kwa kuuza kitimoto inaitwa hatutajani majina pub na hii ndo slogan ya wateja wake wote.Kwa wale ndugu zetu wa huko tanga,hizi habari ni za kweli?na kama ni kweli kwa nini hiyo pub ijiite hivyo?
mmmmmh! ni haramu but inasafisha nyota. n way me naifahamu nyingine ipo karibu na airport majani mapana, kuna wapemba
huwa wanakuja kuwapiga shoka hao viumbe na kuwasafirisha kwa boat mpaka pemba. cjui wanafanya nao nini? kwani ni haramu. hiyo nyingine wanatumia pacwed
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.