Hatuna Muda na familia zetu..

ngoshwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
4,131
931
Tushirikishanie hii kama hatukuwahi kuisoma, ni habari toka kwa mwanajamii mwenzetu:



Kazi tunayo kizazi hiki,

Kuna hii nayo ilipatikana kanisani, pale mchungajai aliyealikwa
kutulisha neno alipoamua kutushirikisha matatizo yanayowapata kondoo
wa bwana. kuna siku alipigiwa simu na wazazi fulani aende nyumbani
kwao akamuombee binti yao mdogo mtoto wa darasa la nne, kisa cha
kuitwa ni kuwa yule mtoto anasoma hizi shule za academia,siku moja
asubuhi wakati anawahi basi la shule alisahau kuzima fan (pangaboi la
juu) chumbani kwake, kupitia kioo cha juu ya mrango wazazi wakaona
pangaboi linazunguka baba akaamua aingie chumbani kwa binti akazime
ghafla akakutana na vidonge juu ya meza ya kusomea....akamuita mama
akamuuliza ni vya nn?lahaula vilikua ni vidonge vya majira ya uzazi,
wazazi wakahamaki sana wakajiuliza maswali mengi, wakakubaliana
wamsubiri binti akirudi jioni wamuulize.

Binti aliporudi akabanwa na wazazi, mwanzo alitaka kugoma,
wakamtishatisha akakubali kuwa amepewa na Mlinzi wa getini hapo
nyumbani, mazingira wanayoishi ni katika estate ina nyumba kama kumi
na tano, so the whole compound imezungushiwa ukuta na ina geti moja
kubwa la kuingilia.Mtoto akaanza kueleza kuwa mchezo huo aliuanza
miaka miwili iliyopita na fundi mwashi aliyekuwa anajenga hapo estate
ndo alianza kumfundisha Ngono, thena aakafuata Mlinzi, mlinzi
aliponogewa akamwambia mwenzie, huyu wa plili akamtishia mtoto kuwa
asipompa na yeye atamsemea kwa baba yake, mtoto akampa, akaja wa tatu,
huyu ndo akamfundisha na kutumia vidonge, sasa akawa mtaalam.

Mchungaji alipoitwa akasema kabla sijamuombea naomba mnipe mda nikae
nae mm na yeye tu nimfanyie counselling, hapo ndipo yalipofumuka memgi
makubwa, yule mtoto akakiri mbele ya baba mchungaji kuwa ameshazoea
sana mchezo wa ngono hata hapo kwenye estate wanapoishi ameshatembea
na wababa wanne, huwa anaaga anaenda saloon wkend akifika nje hao
wababa wanampakia kwenye magari yao wanampeleka huko wanapopajua
kumfanyia uharibifu, akaendelea ku-narate kuwa hata dereva na konda wa
school bus tayari ameshafanya nao, shuleni amefanya na walimu wawili
na Mwalimu mkuu pia.

Mchungaji hakuwaeleza wazazi extent ya uharibifu aliyofanyiwa mtoto
wao, aliwaita wote akawaombea, next akaenda kwenye hiyo shule
kupambana na mwl mkuu, ushauri wa mwisho aliwapa wazazi ni kumwamisha
binti shule, pamoja na kuendelea na maombi kwa binti
huyo..........................story hii iliwatoa machozi watu
kanisani.

Kikubwa kinachojitokeaza hapa ni hii style ya maisha ya sasa, wazazi
tupo too busy na kazi,kutafuta hela kiasi hatupati kuwa karibu na
watoto wetu, sasa upweke wanaoupata watoto ndo wanatumbukia kwenye
mambo ya ajabu kama haya.
----------------
Kisa kingine hiki:
Wazazi wa familia ya watoto watatu wakike wawili na kiume mmoja. Baba ba Mama ni wasomi na wanafanya kazi nzuri na zenye kipato..safari za ndani na nje ya nchi haziwaishi, fedha nyumbani si tatizo.

Wazazi waliajiri mtumishi wa ndani ambae kwao alionekana ni binti makini angeweza kusaidia vizuri watoto., hawakutaka kukaa na ndugu yeyeote kwa hofu kuwa watoto wao wataharibika ..waliajiri pia mtunza bustani wa kiume...na dereva wa kuwahudumia watoto..Wazazi hawakuwa na muda wa kujua watoto wanaishije kwenye maisha ya kawaida ya watoto wao, walichokuwa wakifanya ni kuwapa kila kitu walichohitaji kila siku na kuuliza wanaendeleje tu bila kufuatilia maisha yao upande wa pili kwenye jamii.

Siku moja wakati mama alipokuwa akirejea toka safari majira ya saa nne asubuhi,akiwa getini alisikia mtu akilia kwa sauti ndani, akakimbia kuingia, alipofika varandani, akasikia kelele zikitokea chumbani kwa wanae wakike, alipoingia alikuta mtoto wake mmoja wa kike akiwa ana galagala chini sakafuni, na pembeni kuna glasi ya maji na vidonge..mwingine alikuwa amekaa kitandani huku akiangua kilio, Msichana wa kazi za ndani alikuwa ameshika fagio na ndoo ya kupigia deki anasafisha matapishi ya yule binti..mama alipoingia wote walishtuka, asijue la kufanya akauliza kulikoni, Msichana wa kazi akaeleza kuwa yule binti alikuwa anaumwa,walimpa vidonge..mama akauliza tokea lini, mwenzie akajibu..usiku, "lakini" ...mama akauliza "lakini nini" ?? akajibiwa hakulala nyumbani, alikuja na wenzake, wakamwacha getini, mlinzi ndie alimleta anamsukumiza chumbani kisha akafunga mlango, alikuwa kama amelewa chakali...Mama hakutaka kufuatilia kwa kipindi kile, haraka akamchukua binti na kumpeleka hospitali ya karibu..hali yake ilikuwa mbaya sana, hakuweza kuaongea, povu likimtoka mdomoni.

Baada ya kupatiwa vipimo hospitali, Daktari alimweleza mama kuwa mwanae ametumia pombe kali sana na ametumia pia madawa ya kulevywa hivyo angepaswa kulazwa kwa matazamio, akawekewa maji (drip) ..hata hivyo, jioni ya siku hiyo hali ya binti ilibadilika na haikupita muda mrefu akwa amefariki.

Badaa ya tukio hilo, wazazi ilibidi wafunguke na kuanza kuwahoji watoto wao na wafanyakazi hapo nyumbani ndipo walipobaini kuwa maisha ya watoto hapo nyumbani ni zaidi ya watu wazima wanaoishi ghetto...watoto walikuwa hawaendi shule, wakipewa hela wanampa dereva na mlinzi ili awafichie, siri, yule wa kiume alikuwa mlevi kupindukia na mtumiaji mzuri wa "Poda"; watoto wakike alikwishakuwa wahuni wa kutisha (Machangudoa), walikuwa wakishinda kwenye makumbi ya starehe na wanawajua wanaume wote maarufu mjini...maisha hayo kwa kiasi kikubwa yalichangiwa na Binti wa Kazi alieajiriwa na Wazazi wao ambae wazazi hawakuwahi kuchunguza asili yake (background)... Wazazi walizidi kuchanganyikiwa baada ya kupekua vyumba walivyokuwa wakilala, wakakuta mavazi ambayo kwa mtizamo wa kawaida yaliashiria maisha ya watoto wao..taarifa za shuleni pia ziliwashtua..hawakuwepo shule zaidi ya miezi sita..

Hali hii ilipelekea wazazi kuanza kurushina lawama, Baba akimlaumu mama, Mama kwa kuona hana jinsi akaanza maisha ya kushinda makanisani kutafuta maombezi...Baba akadhani ni vyema suala hili alifikishe kwa mshauri nasaha ili awarekebishe watoto wale wawili waliobakia baada ya kuwatimua wafanyakazi wote pale ndani, ....hata hivyo, haikupita siku walipokea taarifa kuwa kijana wao wa kiume amevamiwa na wenzake , wamembaka na kumua kwa kuzamisha mtoni... kisa cha haya yote haiukueleweka...

TUJIULIZE TUNATAFUTA HELA/PESA/FEDHA KWA AJILI YA NANI KAMA SIO KUSAIDIA FAMILIA ZETU ZIISHI VIZURI KWA MAADILI MEMA??













 
very pathetic... but hiyo ndiyo lifestyle ya leo ya kukimbizana na mshiko; at the end of the day, everybody is a looser
 
Tushirikiashanie hii kama hatukuwahi kuisoma, ni habari toka kwa mwanajamii mwenzetu:

Kazi tunayo kizazi hiki,

Kuna hii nayo ilipatikana kanisani, pale mchungajai aliyealikwa
kutulisha neno alipoamua kutushirikisha matatizo yanayowapata kondoo
wa bwana. kuna siku alipigiwa simu na wazazi fulani aende nyumbani
kwao akamuombee binti yao mdogo mtoto wa darasa la nne, kisa cha
kuitwa ni kuwa yule mtoto anasoma hizi shule za academia,siku moja
asubuhi wakati anawahi basi la shule alisahau kuzima fan (pangaboi la
juu) chumbani kwake, kupitia kioo cha juu ya mrango wazazi wakaona
pangaboi linazunguka baba akaamua aingie chumbani kwa binti akazime
ghafla akakutana na vidonge juu ya meza ya kusomea....akamuita mama
akamuuliza ni vya nn?lahaula vilikua ni vidonge vya majira ya uzazi,
wazazi wakahamaki sana wakajiuliza maswali mengi, wakakubaliana
wamsubiri binti akirudi jioni wamuulize.

Binti aliporudi akabanwa na wazazi, mwanzo alitaka kugoma,
wakamtishatisha akakubali kuwa amepewa na Mlinzi wa getini hapo
nyumbani, mazingira wanayoishi ni katika estate ina nyumba kama kumi
na tano, so the whole compound imezungushiwa ukuta na ina geti moja
kubwa la kuingilia.Mtoto akaanza kueleza kuwa mchezo huo aliuanza
miaka miwili iliyopita na fundi mwashi aliyekuwa anajenga hapo estate
ndo alianza kumfundisha Ngono, thena aakafuata Mlinzi, mlinzi
aliponogewa akamwambia mwenzie, huyu wa plili akamtishia mtoto kuwa
asipompa na yeye atamsemea kwa baba yake, mtoto akampa, akaja wa tatu,
huyu ndo akamfundisha na kutumia vidonge, sasa akawa mtaalam.

Mchungaji alipoitwa akasema kabla sijamuombea naomba mnipe mda nikae
nae mm na yeye tu nimfanyie counselling, hapo ndipo yalipofumuka memgi
makubwa, yule mtoto akakiri mbele ya baba mchungaji kuwa ameshazoea
sana mchezo wa ngono hata hapo kwenye estate wanapoishi ameshatembea
na wababa wanne, huwa anaaga anaenda saloon wkend akifika nje hao
wababa wanampakia kwenye magari yao wanampeleka huko wanapopajua
kumfanyia uharibifu, akaendelea ku-narate kuwa hata dereva na konda wa
school bus tayari ameshafanya nao, shuleni amefanya na walimu wawili
na Mwalimu mkuu pia.

Mchungaji hakuwaeleza wazazi extent ya uharibifu aliyofanyiwa mtoto
wao, aliwaita wote akawaombea, next akaenda kwenye hiyo shule
kupambana na mwl mkuu, ushauri wa mwisho aliwapa wazazi ni kumwamisha
binti shule, pamoja na kuendelea na maombi kwa binti
huyo.......................... story hii iliwatoa machozi watu
kanisani.

Kikubwa kinachojitokeaza hapa ni hii style ya maisha ya sasa, wazazi
tupo too busy na kazi,kutafuta hela kiasi hatupati kuwa karibu na
watoto wetu, sasa upweke wanaoupata watoto ndo wanatumbukia kwenye
mambo ya ajabu kama haya.
----------------
Kisa kingine hiki:
Wazazi wa familia ya watoto watatu wakike wawili na kiume mmoja. Baba ba Mama ni wasomi na wanafanya kazi nzuri na zenye kipato..safari za ndani na nje ya nchi haziwaishi, fedha nyumbani si tatizo.

Wazazi waliajiri mtumishi wa ndani ambae kwao alionekana ni binti makini angeweza kusaidia vizuri watoto...waliajiri pia mtunza bustani wa kiume...na dereva wa kuwahudumia watoto..Wazazi hawakuwa na muda wa kujua watoto wanaishije kwenye maisha ya kawaida ya watoto wao, walichokuwa wakifanya ni kuwapa kila kitu walichohitaji kila siku na kuuliza wanaendeleje tu bila kufutailia maisha yao.

Siku moja wakati mama alipokuwa akirejea toka safari majira ya saannne asubuhi,akiwa getini alisikia mtu akilia kwa sauti ndani, akakimbia kuingia, alipofika varandani, akasikia kelele zikitokea chumbani kwa wanae wakike, alipoingia alikuta mtoto wake mmoja wa kike akiwa ana galagala chini, na pemebeni kuna glasi ya maji na vidonge..mwingine alikuwa amekaa pemebeni akiangua kilio, binti wa kazi alikuwa ameshika fagio na ndoo ya kupigia deki anasafisha matapishi ya yule binti..mama alipoingia wote walishtuka, asijue la kufanya akauliza kulikoni, binti wa kazi akaeleza kuwa yule binti alikuwa anaumwa,walimpa vidonge..mama akauliza tokea lini, mwenzie akajibu..usiku, "lakini" ...mama akauliza "lakini nini" ?? akajibiwa hakulala nyumbani, alikuja na wenzake, wakamwacha getini, mlinzi ndie alimleta..Mama hakutaka kufuatilia kwa ki[pindi kile, akamchukua binti na kumpeleka hospitali ya karibu..hali yake ilikuwa mbaya. Baada ya kupatiwa vipimo hospitali, Daktari alimweneza mama kuwa mwanao ametumia pombe kali sana na ametumia madawaq ya kulevywa hivyo angepaswa kulazwa kwa maangalizi..hata hivyo, jioni ya siku hiyo hali ya binti ilibadiliaka sana na alifariki.

Badaa ya tukio hilo, wazazi ilibidi wafunguke na kuanza kuwahoji watoto wao na wafanyakazi hapo nyumbani ndipo walipobaini kuwa maisha ya wana wao hapo nyumbani ni zaidi ya watu wazima wanaoishi ghetto...watoto waklikuwa hawaoendi shule, wakipewa hela wanampa dereva awafichie, siri, watoto wakike alikwisha jifunza uhuni wa kutisha, walikuwa wakishinda kwenye makumbi ya starehe na wanawajua wanaoe wote maarufu mjini...maisha hayo kwa kiasi kikubwa yalichangiwa na Binti wa Kazi alieajiriwa na Wazazi wao ambae wazazi hawakuwahi kuchunguza asili yake (background)...

Hali hii ilipelekea wazazi kuanza kurushina lawama, Baba akimlaumu mama, Mama kwa kuona hana jisni akaanza maisha ya kushinda makanisani kutafuta maombezi...lakini ni kama wamechelewa..

TUJIULIZE TUNATAFUTA HELA/PESA/FEDHA KWA AJILI YA NANI KAMA SIO KUSAIDIA FAMILIA ZETU ZIISHI VIZURI KWA MAADILI MEMA??

Nimejaribu kui edit, ngoja nikae chini niisome sasa..
 
Hii maneno ni mbaya sana! Na kwa taarifa na manufaa ya wote, tuchunge sana hawa watumishi wa ndani nao ni balaa. Next week ntawaletea kituko cha house maid alivyokuwa akimharibu mtoto wa kiume wa mama mwenye nyumba, inatia kinyaa sana.
 
Juzi nilimshuhudia mtoto wa kike wa darasa la tano anamsugua dereva wa daladala nyuma ya sikio kwa kidole wakati suka wa daladala akiendesha gari. Nilichoweza kumwambia suka ni kwamba utafungwa, suka akabaki anacheka tu
 
very sad
watoto wengi wa shelu za english medium wako hivi
na wanaopelekwa kusoma Kenya na Uganda pia hivi hivi
nimesoma nao nawajua
 
very sad
watoto wengi wa shelu za english medium wako hivi
na wanaopelekwa kusoma Kenya na Uganda pia hivi hivi
nimesoma nao nawajua

Mkuu hata hizi zetu za kata, pengine hata tukiwa busy vipi, tujaribu kutupa jicho pembeni kujua wanetu wanaishije.
 
Back
Top Bottom