Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,940
- 6,854
Ndiyo swali hilo? Tatizo mwisho tukishawapata wataalamu kadhaa mwisho wataanza kunata. I don't know; labda tutahitaji kusubiri wimbi kubwa la uhalifu wa kisasa ndio tutaona ulazima wa kuwa na wataalamu wa kutosha wa fani hii.
[/SIZE][/FONT]
Huo uhalifu wa kisasa ni upi? Lini umemuona kachero wa kitanzania akichukua fingerprint kwenye eneo la tukio? Leo mnazungumzia DNA. Mpaka leo tunapima umeme kwa kulamba, photocopiya inakaa kwa bosi halafu mnataka kutuletea huu upuuzi. Mnafanya mashara, nini?
Amandla.........