Msimamo wangu juu ya Edward Lowassa na watu wake wote unafaahimka wazi. One of such people ni James Millya. Yes amehamia CDM lakini swali langu ni je atakuwa mwaminifu zaidi kwa Edward Lowassa au CHADEMA? Akiwa CCM alijiainiasha kama mtu aliyekuwa tayari kufanya chochote alichoagizwa na Edward!
Hofu yangu ni kuwa baada ya kubaini hawezi kuweka mbunge kupita CCM (alishindwa kwa Batilda, akashindwa kwa Sioi) sasa amebaini njia pekee ni kupitia CHADEMA! Hivyo Millya avuke huku awe mbunge wa Arusha mjini kupitia CDM.
CDM chama kilichojiainisha kupambana na ufisadi kamwe kisikubali kuingia kwenye mtego huu. Tunafahamu Millya amekuja na mamilioni kadhaa ambayo si yake, tunajua yalipotoka, tunajua nia yake. Mh Mwenyekiti Freeman Mbowe tumeona tamko lako jana kumpokea James, nafahamu umezungukwa na watu wanaompigia debe Millya kwa sababu mbali mbali na wengine wamekuwepo kwenye chama kwa muda mrefu na unawaamini. Ninapata hofu kubwa you are being misled on this. CDM Arusha na watu wa Arusha kwa ujumla tutamkataa James Millya kama atasimamishwa kugombea ubunge kwa tiketi ya CDM kama tulivyomkataa Mama Buriani tukifahamu fika ni nani kamtuma.
Mh Goodbless Lema, usijaribu kumbeba Millya, ngoja tukuambie wazi, tunakuheshima sana na tumekupigani wewe (tumekipigania chama chetu) vile ulibeba bendera ya chama. Ukisimamishwa baada ya rufaa tutakupigania wewe tutakipigania chama chetu. Ukimleta James Millya (iwapo mahakama itakuzuia kugombea) tutamkataa yeye na jua fika your credibility will be eroded! na hiki kitakuwa kifo chako cha kwanza kisiasa, of course in "politics one can die many times"
Kama tumekose kwa namna tunavyomwona Millya, fine give us time tujionee kuwa Millya amebadilika na si yule wa Lowassa. Tutahitaji muda kujiridhisha kuwa kweli yupo loyal to the course, yupo loyal to CDM na kweli ameachana na baba yake Lowassa. Msituletee sasahivi kwenye ubunge,
Chonde! chonde! chonde!
Hofu yangu ni kuwa baada ya kubaini hawezi kuweka mbunge kupita CCM (alishindwa kwa Batilda, akashindwa kwa Sioi) sasa amebaini njia pekee ni kupitia CHADEMA! Hivyo Millya avuke huku awe mbunge wa Arusha mjini kupitia CDM.
CDM chama kilichojiainisha kupambana na ufisadi kamwe kisikubali kuingia kwenye mtego huu. Tunafahamu Millya amekuja na mamilioni kadhaa ambayo si yake, tunajua yalipotoka, tunajua nia yake. Mh Mwenyekiti Freeman Mbowe tumeona tamko lako jana kumpokea James, nafahamu umezungukwa na watu wanaompigia debe Millya kwa sababu mbali mbali na wengine wamekuwepo kwenye chama kwa muda mrefu na unawaamini. Ninapata hofu kubwa you are being misled on this. CDM Arusha na watu wa Arusha kwa ujumla tutamkataa James Millya kama atasimamishwa kugombea ubunge kwa tiketi ya CDM kama tulivyomkataa Mama Buriani tukifahamu fika ni nani kamtuma.
Mh Goodbless Lema, usijaribu kumbeba Millya, ngoja tukuambie wazi, tunakuheshima sana na tumekupigani wewe (tumekipigania chama chetu) vile ulibeba bendera ya chama. Ukisimamishwa baada ya rufaa tutakupigania wewe tutakipigania chama chetu. Ukimleta James Millya (iwapo mahakama itakuzuia kugombea) tutamkataa yeye na jua fika your credibility will be eroded! na hiki kitakuwa kifo chako cha kwanza kisiasa, of course in "politics one can die many times"
Kama tumekose kwa namna tunavyomwona Millya, fine give us time tujionee kuwa Millya amebadilika na si yule wa Lowassa. Tutahitaji muda kujiridhisha kuwa kweli yupo loyal to the course, yupo loyal to CDM na kweli ameachana na baba yake Lowassa. Msituletee sasahivi kwenye ubunge,
Chonde! chonde! chonde!