Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
Bwabwa si ungeandika kabisa kuwa unatoa post za harusi yangu
Ni miezi sita sasa huyu mpenzi wangu tangu aanze hii tabia ya ajabu, kama yuko chumbani nikitaka kulala anahamia chumba kingine, nikimfata huko anakwenda kulala sebuleni, sina raha, sina wa kuongea nae,mpaka nimvizie kalala fofofo ndio nijisogeze nilale pembeni yake na akishtuka tu anahama kwingine,nikumuuuliza sababu zinakuwa nyingi lakini hazina msingi, kama mnavyojua raha ya kulala sharti usikie mapigo ya moyo ya mpenzi wako. Wana JF nawaombeni mnipe ushauri wa kina nini cha kufanya ili niondokane na hili balaa?